adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,477
- 4,270
Ukiangalia mfumo wa Prof Milovan anatumia sana wings ktk kushambulia.. Wings zenye kasi n that's 1 reason kwa mfumo ule Okwi alishine sana kwakuwa yeye ndo mipango yote ya timu ilikuwa inamalizikia kwake.. Na kidogo Marehemu Mutesa kwakuwa alikuwa na speed alifunga magoli mengi na kuwa m1 wa Holding Midfield duniani kufunga magoli mengi ktk msimu m1. Nna imani kwa uwezo wa Ngassa ule tunaoujua na speed aliyonayo Simba haitategemea upande m1 ktk kushambulia ie ule wa Okwi na Maftah.. Kwa Simba hii ya Kaseja golini Chollo au yule dogo Hassan wa u20 shavu la kulia Maftah shavu la kushoto Kapombe na Twite mikoba Musa Mudde holding midfield Kazimoto au Mbiyavanga dimba la juu winga okwi winga Ngassa kumi Boban na targetman sunzu.. Simba itatutoa kimasomaso hata hatua ya makundi CL mwaka huu..
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums