babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 336
- 821
Wakuu kama mlivyosikia ya kuwa confederation cup limefutwa, Je hawa ndugu zetu ubuntu botho/mikia fc/mbumbumbu fc walio nafasi ya tatu kwenye ligi je watashiriki kombe gan?
Nawasikitikia sana maana naona jinsi wanavyobaki kuwa wa hapa hapa nyumban ( wamchangani)
Nawasikitikia sana maana naona jinsi wanavyobaki kuwa wa hapa hapa nyumban ( wamchangani)