dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,620
- 16,299
- Thread starter
- #21
Mm ckutizama mechi yako ila nilijjuwa walishonwa mbili kavuUsipunguze magoli ni 4 ukijumlisha la ugenini
Mm ckutizama mechi yako ila nilijjuwa walishonwa mbili kavuUsipunguze magoli ni 4 ukijumlisha la ugenini
usisumbuliwe na vitu vidogo hivyo vinavyoweza kuwa edited wote ukakosa pa kushikilia; wewe komalia mada ambayo haiwezi kuwa edited.Msitali??
Bado umepagawa
Hpn tumeonewaaa ila Simba Hana Cha khjiteteaWashazoea kukomeshwa tabu ipo kwa wageni wa mashindano!
Hata wataalam wa mpira wa Goal.Com wanassema Yanga iliibiwaHpn tumeonewaaa ila Simba Hana Cha khjitetea
Kufungwa Yanga, washukuru Simba aisee !Tukio la Jana yanga kupokwa ushindi kwa nguvu limefunika kbsa habri za Simba kupigwa tatu kavu
Yanga ndio imekuwa the top story kwa watu wote hakn mtu anongelea hbr za Simba ukiongeaa habr za Simba Wanaka kimya
Simba wanashukuru hili tukio la yanga sna
Najua bado kile kitu kilichotokea jana bado kina spin kwenye ubongo wako kiasi kinafanya ukose umakini kwenye uandishiusisumbuliwe na vitu vidogo hivyo vinavyoweza kuwa edited wote ukakosa pa kushikilia; wewe komalia mada ambayo haiwezi kuwa edited.
Sababu yanga walikua na expectations kubwa sanaIla yanga ndoo imekuwacover kubwa why not Simba
Usingezima simu jana ungeonekana mpira haukubabaishi kabisa kwa stress ila sasaMmevurugwaaaaa..
Sasa toka usiku hamlali ooh goli goli asubui mmeamka nalo...page za caf zote na mamelode mmejaa nyie na malalamiko yenu na mitusi....tumewaachia mlalamike maana mliwapokeaga wenyewe wasauzi leo wamewababua...
Ss hatuna stress..stress mnazo nyie wa kina mwakarobo Jr...
SanaaaaaSimba inahusika yanga kupokwa ushindi
Ndio maana yakeKufungwa Yanga, washukuru Simba aisee !
Tungeshinda ingekuwa mjadala Ni ninyi tu had jjtatuKufungwa Yanga, washukuru Simba aisee !
🤣🤣🤣Sasa si kila mtu kafa kivyake..yaani kutolewa kwenu kuwe kunatuhusu sisi... Au tuliwashika miguu msifunge penati.
Simba kapoteza kibingwa, lakini pira limeonekana, siyo Uto muda wote kajificha jikoni anajilinda...
story yote jiji la dodoma Ni yanga tu nimepita vijiwe vya Simba nao wanaongelea hbr za yanga tuMmevurugwaaaaa..
Sasa toka usiku hamlali ooh goli goli asubui mmeamka nalo...page za caf zote na mamelode mmejaa nyie na malalamiko yenu na mitusi....tumewaachia mlalamike maana mliwapokeaga wenyewe wasauzi leo wamewababua...
Ss hatuna stress..stress mnazo nyie wa kina mwakarobo Jr...
Maskini wametulia kimya wanatamni wawe tuumge mkono ila wanaogopaSimba yenyew imepigwa kotekote