Simba SC na Asante kotoko

yegella

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
3,113
1,102
wana jamvi tuhabalishane kinacho endelea kwenye uwanja wa taifa kati ya miamba wa Africa baada ya Yanga (Yebo yebo) kuingia mitini...
je simba atapigwa za Real Madrid
Shabiki Kapagawa na Ushindi.jpg
Mashabiki wa simba
amoss.jpg
Mshambuliaji wa Asante Kotoko
 
Half time bila bila, Simba ni wachezaji wanne tu ndo wanacheza timu ya wakubwa wengine wote ni vijana wa Matola wale mabingwa wa Uhai Cup.
 
Half time bila bila, Simba ni wachezaji wanne tu ndo wanacheza timu ya wakubwa wengine wote ni vijana wa Matola wale mabingwa wa Uhai Cup.

vyovyote itakavyokuwa, Simba washukuriwe kwa kuonyesha uzalendo hususani ktk kuazimisha miaka uhuru ya Tanganyika a.k.a Tanzania Bara.
 
Back
Top Bottom