Half time bila bila, Simba ni wachezaji wanne tu ndo wanacheza timu ya wakubwa wengine wote ni vijana wa Matola wale mabingwa wa Uhai Cup.
vyovyote itakavyokuwa, Simba washukuriwe kwa kuonyesha uzalendo hususani ktk kuazimisha miaka uhuru ya Tanganyika a.k.a Tanzania Bara.
wameonyesha uzalendo au ni muendelezo wa kudhalilisha taifa?
wameonyesha uzalendo au ni muendelezo wa kudhalilisha taifa?