Simba kaiheshimisha Tanganyika mbele ya dunia: Wachambuzi uchwara karibuni mtoe nyongo zenu

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,640
697,940
Maadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe
Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi.

Mpira una matokeo matatu
  • Kufunga
  • Kufungwa
  • Suluhu

  • Asanteni sana wachezaji wote
  • Asanteni sana makocha wote
  • Asanteni sana viongozi wote
  • Asanteni sana wanasimba wote
  • Asanteni wote wenye mapenzi mema na SIMBA, marafiki na jamaa pia

Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko.. Naona mmeamua kujifariji na chambuzi za kindezi.. Nawasihi msiache .. Sisi letu limeshatimia

Gooooood night Tanganyika

c555c39a-7fe1-42dc-85d6-4ea6a728fa1d.jpg
 
Maadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe
Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi...
Moira una matokeo matatu
Kufunga
Kufungwa
Suluhu
Asanteni sana wachezaji wote
Asanteni sana makocha wote
Asanteni sana viongozi wote
Asanteni sana wanasimba wote
Asanteni wote wenye mapenzi mema na SIMBA, marafiki na jamaa pia

Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko.. Naona mmeamua kujifariji na chumbuzi za kindezi.. Nawasihi msiache .. Sisi letu limeshatimia

Gooooood night TanganyikaView attachment 2787555

Sent using Jamii Forums mobile app
Je tutatoboa huko ughaibuni?
 
Maadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe
Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi...
Moira una matokeo matatu
Kufunga
Kufungwa
Suluhu
Asanteni sana wachezaji wote
Asanteni sana makocha wote
Asanteni sana viongozi wote
Asanteni sana wanasimba wote
Asanteni wote wenye mapenzi mema na SIMBA, marafiki na jamaa pia

Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko.. Naona mmeamua kujifariji na chumbuzi za kindezi.. Nawasihi msiache .. Sisi letu limeshatimia

Gooooood night TanganyikaView attachment 2787555

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwaombea mpate 2:1 hilo la 2 kwa Al mmejitakia...hongereni watani
 
Maadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe
Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi...
Moira una matokeo matatu
Kufunga
Kufungwa
Suluhu
Asanteni sana wachezaji wote
Asanteni sana makocha wote
Asanteni sana viongozi wote
Asanteni sana wanasimba wote
Asanteni wote wenye mapenzi mema na SIMBA, marafiki na jamaa pia

Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko.. Naona mmeamua kujifariji na chumbuzi za kindezi.. Nawasihi msiache .. Sisi letu limeshatimia

Gooooood night TanganyikaView attachment 2787555

Sent using Jamii Forums mobile app
Kongole zao, vijana wameonyesha jitihada ya halo ya juu sana
 
Back
Top Bottom