GREATTHINKERDAIMA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 232
- 46
Mbunge wa Maswa Mashariki Sylvester Kasulumbayi (CHADEMA) kwa kipindi cha miaka mitano ameonekana kuwa mzigo ni afadhali hata ya John Magele Shibuda.
Mosi, uchangiaji wa hoja Bungeni ni sifuri kabisa. Tofauti na wabunge wengine wa CHADEMA tunaona wako mstari wa mbele kutetea hoja zenye maslahi ya nchi lakini jamaa huyu yeye zake bungeni ni kukaa kimya tu.
Pili, tangu amechaguliwa mbunge kuna baadhi ya kata hajawahi kufika na kujua shida za watu wake.
Tatu, hajaonekana katika kazi ya kujenga chama yaanu CHADEMA kama wabunge wengine wanavyofanya.
Je, CHADEMA tunamrudisha tena huyu kugombea ubunge? Hakuna mbadala unaoweza kutetea jimbo hilo libaki maana kwa namna niwajuavyo wasukuma hawatampigia kura tena huyo na hivyo kuipa nafasi CCM kunyakua jimbo la Maswa Mashariki.
CHADEMA maeneo haya inakubalika sana ila mgombea huyu nadhani atatuangusha vibaya.
Mosi, uchangiaji wa hoja Bungeni ni sifuri kabisa. Tofauti na wabunge wengine wa CHADEMA tunaona wako mstari wa mbele kutetea hoja zenye maslahi ya nchi lakini jamaa huyu yeye zake bungeni ni kukaa kimya tu.
Pili, tangu amechaguliwa mbunge kuna baadhi ya kata hajawahi kufika na kujua shida za watu wake.
Tatu, hajaonekana katika kazi ya kujenga chama yaanu CHADEMA kama wabunge wengine wanavyofanya.
Je, CHADEMA tunamrudisha tena huyu kugombea ubunge? Hakuna mbadala unaoweza kutetea jimbo hilo libaki maana kwa namna niwajuavyo wasukuma hawatampigia kura tena huyo na hivyo kuipa nafasi CCM kunyakua jimbo la Maswa Mashariki.
CHADEMA maeneo haya inakubalika sana ila mgombea huyu nadhani atatuangusha vibaya.