UPIU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 602
- 111
Asante sana mwanakijiji
hili tatizo wanalo vijana wa chadema wanashindana kuona picha baada ya
kusikia hoja.
Na hoja za juzi kwenye mkutano wa kina lema moshi zote wazungumzaji
watatu wamuongelea kinana na ufisadi wake kweli kabisa.
Kwa eneo kama moshi nigetarajiwa hoja.
1.Tutafuaje kahawa irudi kwenye chati kama zamani
2.Katiba mpya
3.Vipi sekta utailii inawezwa boreshwa tukatoa ajira hasa kipindi hiki
cha mwezi wa 12 wachaga wengi wanarudi makwao kwanini tusibuni mfumo wa
kuwashawashi japo wapande mlima kilimanjaro japo waende mbuga za wanyama
kwa siku moja.
4.Tuwazaje kupambana na ushawashi wa kenya kuufanya mlima kilimanjaro ni
wao.
5.Tunawazaje kufaidika na soko kubwa likijengwa rombo na wananchi wa
kenya waje pale kununua mazao
6.Tunawezaje kuifanya rombo itajirike kwa barabara ya sasa.
7.Tunawezaje kuwakomboa wale kina mama wanaouza ndizi,nyanya vituoni
Lakini kuendelea kucheza na ngoma za ccm ni upuuzi eti kinana sio raia
kweli mnaenda ongea majukwaani mnatupotezea muda.
Fred kavishe
Mkuu tunaitaji wachambuzi wengi kama wewe ili kweli JF iwe home of GT