Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 796
- 3,248
Hapa sizungumzii kodi ya fremu ya biashara, Sizungumziii Ma-Celebrities hao najua wanazidi hata hapo, sizungumziii Matajiri sijui wa kutoka wapi huko, nazungumzia Mtu mwenye Mishe zake za kutosha za kumuingizia kipato Mjini, haya ma Gap ni makubwa aisee, Nimeshangaa sana.
Najiuliza ni katika mazingira gani mtu huyu anatoa 2M kwenye nyumba ya kupanga?
Jee yupo mjini kwa muda?
Yupo vizuri sana kwamba hio hela ni nukta kwake, huku akiwa anajenga?
Kweli tukubali kutofautiana..., watu wana pesa zao.
Huwezi kusema huyu mtu hana malengo na Mipango, Maana mpk mtu ameweza hivyo tayari ni mpango huo..
Ila mtu huyu ni vigumu kumuelewa katika normal sense na hio ndio siri na utofauti kati ya wewe na yeye...
Najiuliza ni katika mazingira gani mtu huyu anatoa 2M kwenye nyumba ya kupanga?
Jee yupo mjini kwa muda?
Yupo vizuri sana kwamba hio hela ni nukta kwake, huku akiwa anajenga?
Kweli tukubali kutofautiana..., watu wana pesa zao.
Huwezi kusema huyu mtu hana malengo na Mipango, Maana mpk mtu ameweza hivyo tayari ni mpango huo..
Ila mtu huyu ni vigumu kumuelewa katika normal sense na hio ndio siri na utofauti kati ya wewe na yeye...