Siku ya Vichaa duniani na kuongezeka kwa matukio ya vurugu nchini

Quote: Leo siku ya tarehe 10[SUP]th[/SUP] October, 2013 ni siku ambayo shirikia na Afya Duniani WHO na idara zake, Serikali mbalimbali zilizoridhia mkataba wa Afya Bora Dunia pamoja na taasisi mbalimbali za Afya Duniani kote zinaadhimisha siku ya magonjwa ya akili "UKICHAA"

Ukumbuke kuwa Tanzania pia ni nchi ya pili kutoka mwisho katika kuhudumia wazee!! Sasa afya ipi zaidi ya ukichaa wa wanaCCM!!
 
Shonza, the topic you started was very useful and meaningful, the only mistake you did kuonyesha uchama, na kuifanya topic iwe kisiasa, how possible vichaa wanaongezeka sababu ya cdm? wakati umesema n ongezeko la jot , climate changes, kutokupumzika kwa watu( hii moja kwa moja n ccm maana kama mgetengenza kama ilani yenu inavyosema, ijara na maisha bora kwa kila mtanzania), then kusingekuwa na ongezeko la vichaa.
mihemuko ya kisiasa, uelewa wa kisiasa katika jamii, wanamchi kuona ccm inafanya mambo ambayo hata shetani hawezi kufanya( hii inapelekea kuwa na political intorelance ) because, the society knows what the rulling part is doing.

becareful mama, you might end up babdly, sababu sioni concept ya kudiss chama kiasi hiki, one day your grandkids will ask you, what the hell were u doing to make sure twiga hawapandi ndege

Achana na mwehu! Ndio maana hata barabarani huwa hatuwapigii honi, tunawakwepa tu.
 
Shonza, the topic you started was very useful and meaningful, the only mistake you did kuonyesha uchama, na kuifanya topic iwe kisiasa, how possible vichaa wanaongezeka sababu ya cdm? wakati umesema n ongezeko la jot , climate changes, kutokupumzika kwa watu( hii moja kwa moja n ccm maana kama mgetengenza kama ilani yenu inavyosema, ijara na maisha bora kwa kila mtanzania), then kusingekuwa na ongezeko la vichaa.
mihemuko ya kisiasa, uelewa wa kisiasa katika jamii, wanamchi kuona ccm inafanya mambo ambayo hata shetani hawezi kufanya( hii inapelekea kuwa na political intorelance ) because, the society knows what the rulling part is doing.

becareful mama, you might end up babdly, sababu sioni concept ya kudiss chama kiasi hiki, one day your grandkids will ask you, what the hell were u doing to make sure twiga hawapandi ndege
Hata mimi sikutegemea aharibu hapo mwisho.Lakini ndio dalili zenyewe zinavyoanza
 
komeo, shukran sana kwa kunipungunzia stress zangu, huwa na ghafirika sana kuona watu wanajitoa uelewa namna hii. u-sisem ssiem tuuuuuu, hata kwenye mamabo ya msingi.
Achana na mwehu! Ndio maana hata barabarani huwa hatuwapigii honi, tunawakwepa tu.
 
Even
if you are there for foreign aid,who are you in our country leadership
to be recognised there? Cheap politics in advertisement. Unakumbuka
siku ile ulipombusu mkono Sabodo alipowapa msaada wa kujenga chuo cha
uongozi? kumsujudia Sabodo uliimanisha nini? na wewe huna ubavu wa
kuiombea nchi msaada kwa sasa,na utakapokuwa Rais utaomba tu,hata huyo
Kagame unayemtaja ni misaada ndio imemfikisha hapo na juzi tu US
imemkatia misaada anapiga kelele,kuzungumza chochote nje ya ukuu wa nchi
ni rahisi lakini ngoma inogile ukishika huo urais, hakuweza Mzee
Nyerere kuendesha nchi bila misaada juu ya kiburi alichokuwa nacho kwa
nchi za magharibi pamoja na umahiri wake wa uongozi sembuse nyie
wanasiasa wa leo mliogubikwa na tamaa ya madaraka na ulaji.

Unafikiri hiyo habari uliyoi quote kutoka kwa Mkuu Candid Scope, inaeleza ulichoeleza hapo kwenye red? Kule imeanza na maneno "I am not here for foreign aid". Wewe hapa umeanza na maneno "Even if you are there for foreign aid"! Unafikiri kama ni mwalimu ataendelea kukusahihishia pepa yako? Manake uko off point kwenye hatua ya kwanza tu! Halafu ukiambiwa rudi kasome MEMKWA unakasirika!
 
ni kwa sababu haujui..,kwa taarifa yako walimu almost wote wanasomea saikoloji. Ni sehemu ya mafunzo yetu. Jielewe.

cc snowhite,

nafikiri siasa zetu sasa zimeingiliwa na ama watu wasiojua siasa ama watu wanaojua siasa lkn kwa makusudi mazima wanataka kupotosha umma kwa maneno yao ya ajabu ajabu.
nilifikiri mada kama hii ingejikita kwenye njia zisababishazo UKICHAA na namna ya kutegemeza kizazi chenye UTIMAMU WA MWILI NA AKILI nashangaa kuona mada inaelekeza siasa ni ukichaa.

Kama ni kweli Juliana Shonza ulichokisema ni wewe binafsi na wala mtu hajaiba ID yako basi wewe utakuwa ni miongoni mwa watu ambao soon tunawatazamia wawe mental retarded kwasababu tu wanajihusisha na siasa na tena wako utakuwa mkali zaid as utakuwa umebeba sonono la CDM, NA LA CCM kwa pamoja na sijui utamalizia ukiwa chama gani........

clinically some one may have acute symptoms or chronic symptoms na heri acute manake it kills you faast but chronic lazima ikutese kwanza kwa muda ndipo ikuue.
 
Last edited by a moderator:
ni kwa sababu haujui..,kwa taarifa yako walimu almost wote wanasomea saikoloji. Ni sehemu ya mafunzo yetu. Jielewe.

Psychology anayosoma mwalimu haimpi uwezo wa kujadili afya ya akili kama unavyotaka kuwapotosha watu hapa,this is more of clinical psychology!!Point of education; KICHAA ni ugonjwa mmoja tu kati ya magonjwa mengi ya akili,waliosoma psychiatry wanauita Schizophrenia.Ni upumbavu kuingiza siasa uchwara kwenye afya ya watanzania na kujifanya unajua vitu wakati ni mburula mkubwa!!
 
Ningekua na PESA ningekwambia uandike BUSINESS PLAN uje nikupe PESA ukafanye biashara uachane na siasa, kwani umepanik sana tokea ufukuzwe CHADEMA na kuna hatari ya kukupoteza kabisa.
 
eh!
WEWE NI KICHAA MTARAJIWA!
ahsante kwa kuniita A ,
HIV HATUWEZI KUJADILI MAMBO KATIKA UPEKEE WAKE BILA KUHUSISHA UCCM NA UCHADEMA?
mada hii ilikuwa nzuri ajabu Juliana lakini sijui umeanzaje kuihusisha na siasa za CCM na CHADEMA
umeanzaje?
NAJIULIZA ujue sipati jibu!
mimi ni mwalimu!
kwa hiyo ishia hapo hapo kutaka kunibishia kuwa wewe si KICHAA TARAJALI!
 
Last edited by a moderator:
Leo siku ya tarehe 10[SUP]th[/SUP] October, 2013 ni siku ambayo shirikia na Afya Duniani WHO na idara zake, Serikali mbalimbali zilizoridhia mkataba wa Afya Bora Dunia pamoja na taasisi mbalimbali za Afya Duniani kote zinaadhimisha siku ya magonjwa ya akili “UKICHAA”

Maadhimisho haya yaliasisiwa Mwaka 1992 ili kuongeza nguvu ya kuamsha jamii katika kupiga vita magonjwa ya akili duniani chini ya “world federation for mental health”

Siku ya leo ni siku ya kujulishana na kupeana elimu mbalimbali juu ya dalili za UKICHAA, na mazingira yanayopelekea UKICHAA na njia za kujikinga na UKICHAA. Nikianza na Dalili moja kubwa ya wazi na maarufu ni mtu kuwa na tabia ya kupata hasira za haraka na za mara kwa mara “ the rise of violent behavior” physical fight na kuongea hovyo.

Sababu zinazotajwa kupelekea hali hiyo ni pamoja na Listening hate and violent speeches, watching violent video game,matumizi ya mihadarati, kubadilika kwa hali ya hewa hasa kupanda kwa joto, kurithi, magojwa ya kichwa, mshituko na nyinginezo.

Kinga yake kubwa ni kuacha kujihusisha na mambo ambayo yanapelekea mshituko wa akili, kutohudhuria, kutoangalia ama kusikiliza hate and violent speeches and videos , kutotumia mihadarati esp. VIROBA, bangi n.k na kutunza mazingira ili kuzuia mabadiliko ya hali ya hewa na kufanya check up ya mara kwa mara na kupumzisha kichwa na mwili “sio kila siku maandamano yasiyo na tija”

Tanzania yetu ya sasa inatajwa kuwa ni moja ya nchi za kiafrika ambazo there is rise of a violent society, na takwimu zinaonyesha kuwa kuongezeka kwa vurugu nchini kunachangiwa pamoja na mambo mengine shughuli za siasa hasa za upinzani hasa CHADEMA “ni chama ambacho mikutano yake imetawaliwa na vurugu na hata mauaji, takwimu zipo (mods tuvumiliane).

Kituo cha haki za binadamu (LHRC’s) katika ripoti yake ya mwaka 2012 inaonyesha kuwa kuna ongezeko kubwa la vurugu za kimakundi, ripoti za Jeshi la polisi linaonyesha kuwa watu 1,234 wameripotiwa kuuawa katika vurugu za kimakundi ndani ya mwaka 2012 pekee na ripoti hiyo inataja kuwa shughuli za kisiasa ndio zinapelekea mauaji na vurugu hizo, naomba kunukuu “the police reports indicate that 1,234 people were reported to have been killed by angry mobs in 2012. Incidents of mob violence also involve the growing incidents of political related violence..”

Wanasaikolojia mbalimbali akiwemo Dr Modesta Kimunga ambaye pia ni Lecturer katika Chuo Kikuu cha mlimani wameonya kuwa jamii lazima ichukue hatua kwa kushirikiana na Serikali, na Chama Tawala CCM katika juhudi za kutokomeza hali hii ambayo kwa namna ilivyo itapelekea kuwa na TAIFA la VICHAA, likiongozwa na VIONGOZI MATAAHIRA na WAFUASI MAMBUMBUMBU.

Kidumu Chama Tawala CCM.

Mungu Ibariki Tanzania, iondeo chadema katika fikra za watanzania, uwaepushe na balaa na magonjwa ya akili.(UKICHAA)

kama ni hvo, bsi matahra weng watakuwa waislam ambao tangu utotoni wanafundishwa chuki tu.
 
VIFO? "It is easier to find men who will volunteer to die, than to find those who are willing to endure pain with patience"-Julius Caesar
 
Lumumba mmeadhimisha leo siku ya vichaa?wako mwangapi?
Kicha anapelekwe mirembe,kwenye nyamvi ndio hosp.ya rufaa ya vichaa?
Pengine na ww ni miongoni mwao maana unajiochanganya.
kama umesoma psycology ni budi pia usome sociology mbona ww Shoza huna?
 
[

Siku ya leo ni siku ya kujulishana na kupeana elimu mbalimbali juu ya dalili za UKICHAA, na mazingira yanayopelekea UKICHAA na njia za kujikinga na UKICHAA. Nikianza na Dalili moja kubwa ya wazi na maarufu ni mtu kuwa na tabia ya kupata hasira za haraka na za mara kwa mara " the rise of violent behavior" physical fight na kuongea hovyo.
 
Leo siku ya tarehe 10[SUP]th[/SUP] October, 2013 ni siku ambayo shirikia na Afya Duniani WHO na idara zake, Serikali mbalimbali zilizoridhia mkataba wa Afya Bora Dunia pamoja na taasisi mbalimbali za Afya Duniani kote zinaadhimisha siku ya magonjwa ya akili “UKICHAA”

Maadhimisho haya yaliasisiwa Mwaka 1992 ili kuongeza nguvu ya kuamsha jamii katika kupiga vita magonjwa ya akili duniani chini ya “world federation for mental health”

Siku ya leo ni siku ya kujulishana na kupeana elimu mbalimbali juu ya dalili za UKICHAA, na mazingira yanayopelekea UKICHAA na njia za kujikinga na UKICHAA. Nikianza na Dalili moja kubwa ya wazi na maarufu ni mtu kuwa na tabia ya kupata hasira za haraka na za mara kwa mara “ the rise of violent behavior” physical fight na kuongea hovyo.

Sababu zinazotajwa kupelekea hali hiyo ni pamoja na Listening hate and violent speeches, watching violent video game,matumizi ya mihadarati, kubadilika kwa hali ya hewa hasa kupanda kwa joto, kurithi, magojwa ya kichwa, mshituko na nyinginezo.

Kinga yake kubwa ni kuacha kujihusisha na mambo ambayo yanapelekea mshituko wa akili, kutohudhuria, kutoangalia ama kusikiliza hate and violent speeches and videos , kutotumia mihadarati esp. VIROBA, bangi n.k na kutunza mazingira ili kuzuia mabadiliko ya hali ya hewa na kufanya check up ya mara kwa mara na kupumzisha kichwa na mwili “sio kila siku maandamano yasiyo na tija”

Tanzania yetu ya sasa inatajwa kuwa ni moja ya nchi za kiafrika ambazo there is rise of a violent society, na takwimu zinaonyesha kuwa kuongezeka kwa vurugu nchini kunachangiwa pamoja na mambo mengine shughuli za siasa hasa za upinzani hasa CHADEMA “ni chama ambacho mikutano yake imetawaliwa na vurugu na hata mauaji, takwimu zipo (mods tuvumiliane).

Kituo cha haki za binadamu (LHRC’s) katika ripoti yake ya mwaka 2012 inaonyesha kuwa kuna ongezeko kubwa la vurugu za kimakundi, ripoti za Jeshi la polisi linaonyesha kuwa watu 1,234 wameripotiwa kuuawa katika vurugu za kimakundi ndani ya mwaka 2012 pekee na ripoti hiyo inataja kuwa shughuli za kisiasa ndio zinapelekea mauaji na vurugu hizo, naomba kunukuu “the police reports indicate that 1,234 people were reported to have been killed by angry mobs in 2012. Incidents of mob violence also involve the growing incidents of political related violence..”

Wanasaikolojia mbalimbali akiwemo Dr Modesta Kimunga ambaye pia ni Lecturer katika Chuo Kikuu cha mlimani wameonya kuwa jamii lazima ichukue hatua kwa kushirikiana na Serikali, na Chama Tawala CCM katika juhudi za kutokomeza hali hii ambayo kwa namna ilivyo itapelekea kuwa na TAIFA la VICHAA, likiongozwa na VIONGOZI MATAAHIRA na WAFUASI MAMBUMBUMBU.

Kidumu Chama Tawala CCM.

Mungu Ibariki Tanzania, iondeo chadema katika fikra za watanzania, uwaepushe na balaa na magonjwa ya akili.(UKICHAA)
Kiukweli tulikuwa tunaidharau jf, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya, yamesaidia saidia, huwezi jua!. Zamani nilikuwa napitia mabandiko yako kwa dharau na kujibu kwa kejeli, lakini baada ya uteuzi, sasa napitia mabandiko yako yote kwa makini zaidi, heshima na adabu haswa kwa kuzingatia wewe sasa ndio bosi wangu kwenye tasnia ya habari.

Karibu Boss, Mheshimiwa saba, Bi Juliana Shonza.

Paskali.
 
Back
Top Bottom