(a) Yaani wewe mdada ambaye huna mume halafu una watoto 2 au zaidi wa baba tofauti utaozea jela.
(b) Wewe mwanaume ambaye hueleweki unafanya kazi gani halafu una watato 2 au zaidi utaozea gerezani.
(c) Madereva bodaboda/bajaji na machinga marufuku kuwa na watoto.
Nitaanzisha utaratibu wa kila mwanaume kabla ya kuoa lazima uombe kibali kutoka Serikalini. Uitwe kwenye usaili ujieleze una mipango gani, una mali kiasi gani, unafanya shughuli gani na inakulipa kiasi gani kwa sasa? Halafu utakadiriwa idadi ya watoto unaopaswa kuzaa.
Hakuna mtu ataruhusiwa kuzaa watoto zaidi ya watatu (3). Kwanini? Kuzaa hovyo ndiyo imekuwa chanzo kikuu cha:-
∆ . Wezi, vibaka, Panya Road, majambazi na maovu mengine mengi. Hivyo kupelekea mauaji, uporaji umaskini wa mtu mmoja mmoja.
∆. Idadi ya walipa Kodi kuwa ndogo. Maana ili ulipe Kodi lazima uwe na biashara kubwa. Sasa mtoto wa dereva bodaboda/bajaji na machinga ni lini atamiliki biashara kubwa? Hii hupelekea umasikini wa nchi.
∆. Serikali kushindwa kupanga mipango ya maendeleo kwa wananchi wake.
Mniombee niwe Rais niondoe umaskini nchi hii kwa kuzuia kuzaa hovyo hovyo.
(b) Wewe mwanaume ambaye hueleweki unafanya kazi gani halafu una watato 2 au zaidi utaozea gerezani.
(c) Madereva bodaboda/bajaji na machinga marufuku kuwa na watoto.
Nitaanzisha utaratibu wa kila mwanaume kabla ya kuoa lazima uombe kibali kutoka Serikalini. Uitwe kwenye usaili ujieleze una mipango gani, una mali kiasi gani, unafanya shughuli gani na inakulipa kiasi gani kwa sasa? Halafu utakadiriwa idadi ya watoto unaopaswa kuzaa.
Hakuna mtu ataruhusiwa kuzaa watoto zaidi ya watatu (3). Kwanini? Kuzaa hovyo ndiyo imekuwa chanzo kikuu cha:-
∆ . Wezi, vibaka, Panya Road, majambazi na maovu mengine mengi. Hivyo kupelekea mauaji, uporaji umaskini wa mtu mmoja mmoja.
∆. Idadi ya walipa Kodi kuwa ndogo. Maana ili ulipe Kodi lazima uwe na biashara kubwa. Sasa mtoto wa dereva bodaboda/bajaji na machinga ni lini atamiliki biashara kubwa? Hii hupelekea umasikini wa nchi.
∆. Serikali kushindwa kupanga mipango ya maendeleo kwa wananchi wake.
Mniombee niwe Rais niondoe umaskini nchi hii kwa kuzuia kuzaa hovyo hovyo.