Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Kifo cha mzee Kawawa kimeacha simanzi na huzuni kubwa si kwa familia yake tu bali hata kwa Taifa letu ambalo tuna utamaduni wa kuwatunza na kuwaenzi wazee wetu.Pamoja na hayo sijaona manti ya Rais wangu kuacha kuhutubia Taifa ktk siku hii muhimu na kwa utaratibu aliojiwekea wa kuongea na wananchi kila mwisho wa mwezi na kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na msimamo wa serikali kuhusu baadhi ya mambo.
Kama sababu ni msiba wa Mzee Kawawa,bado alikuwa na nafasi ya kuhutubia japo hata kuwapa wananchi moyo wa uvumilivu na ujasiri wa kuishi kwa AMANI bili KAWAWA..hakufanya hivyo,je huko ni kukosa ujasiri kwa RAIS?JE KAWAWA alikuwa/ni muhimu kuliko Watanzania wote ambao kwa kudra za Mwenyezi Mungu aliwaacha hai ili pamoja na kumtumikia YEYE wapate kusikia Hotuba ya Rais Wao? Au Rais alikuwa hajaandaa hotuba yake na au hakukuwa na la maana sana kuongea na Wananchi?
Sasahivi tunazo NYERERE DAY,SOKOINE DAY,INDEPENDENCE DAY,REVOLUTIONARY DAY,UNION DAY PLUS SIKUKUU ZA KIDINI.JE TUNAHITAJI TENA KAWAWA DAY?
Kama sababu ni msiba wa Mzee Kawawa,bado alikuwa na nafasi ya kuhutubia japo hata kuwapa wananchi moyo wa uvumilivu na ujasiri wa kuishi kwa AMANI bili KAWAWA..hakufanya hivyo,je huko ni kukosa ujasiri kwa RAIS?JE KAWAWA alikuwa/ni muhimu kuliko Watanzania wote ambao kwa kudra za Mwenyezi Mungu aliwaacha hai ili pamoja na kumtumikia YEYE wapate kusikia Hotuba ya Rais Wao? Au Rais alikuwa hajaandaa hotuba yake na au hakukuwa na la maana sana kuongea na Wananchi?
Sasahivi tunazo NYERERE DAY,SOKOINE DAY,INDEPENDENCE DAY,REVOLUTIONARY DAY,UNION DAY PLUS SIKUKUU ZA KIDINI.JE TUNAHITAJI TENA KAWAWA DAY?