Siku hizi laki ni kama elfu kumi tu

Umeme 42 units 15,000
Mchele 5 kg 10,000
Samaki 2 kg 19,000
Kuku 1 20,000
Ng'ombe 2kg 16,000
Mbogamboga, nyanya, vitunguu, na viungo vingine 10,000
Hausgel 5,000
Misc 10,000[/QUOT]

Naona umeamua tu kuandika ili mradi 100,000 iishe.
 
Mkuu usiangalie hali yako tu, tambua Kuna wengine wanavitumia hivyo. Half mbona hata Kinondoni vipo mkuu
mkuu hebu njoo PM unioneshe iko chumba nna kihitaji maana ivi vyumba vya kilo na ushee nimeona havina maana, nataka iko.
 
Ingawa Mimi sipo hapo TZ kwa sasa lakini ni vizuri kuuliza ili kuelewa badala ya kuchapa Na kuandika pumba.
Watu wengi wanasema hela zimepotea mitaani, Na hela zinapopotea nijuavyo inakua ngumu kwa wafanya biashara kuuza bidhaa zao, hatimayake ni bei kuporomoka. Enzi za Mh. Mwinyi ilikua ni enzi za ruksa, hela nje nje na dhamani ya shilingi inashuka, dola ikapaa juu.
Lakini hii ya leo kama mimi ni mfanya biashara Na wateja hawana uwezo wa kununua bidhaa zangu lazima ni shushe bei. Ebu tuelewwsheni mnao kua hili suala,
 
Ili upate ukweli nenda benki, au popote unapotunza pesa yako, chukua laki alafu mpe 90 rafiki ako, nendeni shopping tuone nani atatoka na kitu cha maana
 
Ili upate ukweli nenda benki, au popote unapotunza pesa yako, chukua laki alafu mpe 90 rafiki ako, nendeni shopping tuone nani atatoka na kitu cha maana
tzs 90,000 unapata kg 45 za mchele grade ya juu.
tzs 90,000 unaweza kupata zaidi ya kg 30 za sukari
tzs 90,000 unaweza kununua matofali 90
tzs 90,000 unaweza kununua mifuko 8 ya saruji

Naweza kujaza hii page kukuandikia vitu vya muhimu unavyoweza kupata kwa tzs 90,000. Hebu acheni kukufuru ukiamua kutumia kwa vitu vya hovyo hata bilioni sio kitu.
 
Ingawa Mimi sipo hapo TZ kwa sasa lakini ni vizuri kuuliza ili kuelewa badala ya kuchapa Na kuandika pumba.
Watu wengi wanasema hela zimepotea mitaani, Na hela zinapopotea nijuavyo inakua ngumu kwa wafanya biashara kuuza bidhaa zao, hatimayake ni bei kuporomoka. Enzi za Mh. Mwinyi ilikua ni enzi za ruksa, hela nje nje na dhamani ya shilingi inashuka, dola ikapaa juu.
Lakini hii ya leo kama mimi ni mfanya biashara Na wateja hawana uwezo wa kununua bidhaa zangu lazima ni shushe bei. Ebu tuelewwsheni mnao kua hili suala,
nahisi hili linahitaji wachumi wabobevu
 
tzs 90,000 unapata kg 45 za mchele grade ya juu.
tzs 90,000 unaweza kupata zaidi ya kg 30 za sukari
tzs 90,000 unaweza kununua matofali 90
tzs 90,000 unaweza kununua mifuko 8 ya saruji

Naweza kujaza hii page kukuandikia vitu vya muhimu unavyoweza kupata kwa tzs 90,000. Hebu acheni kukufuru ukiamua kutumia kwa vitu vya hovyo hata bilioni sio kitu.
safi sana
 
maisha popote.......!!
afu maisha yao siyawezi kabisa, nshazoea uswahilini pangu pakavu, ugali dagaa kitanda telemka tukaze..ndo maisha yangu blaza
kweli kabisa na mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake
 
Back
Top Bottom