Mkodoleaji
JF-Expert Member
- Apr 27, 2008
- 458
- 138
Jamani CCM ndiyo chama tawala kwa Tanzania hilo halina ubishi. Lakini mwenendo wa siku za hivi karibuni kweli unanitisha.
1. Kila mara kiongozi wa CCM anaposimama kuongea yaani anaoongea vitu ambavyo vinakera mpaka huelewi kama huyo kiongozi alishawahi kwenda shule
2. Nimeangalia vipindi vya bunge toka juzi lakini kila mara Mbunge wa CCM anaposimama anachoongea kinakera zaidi.
Yaani natamani ningekuwa na uwezo wa kuwafanya hawa jamaa wa CCM wasiwe chama tawala ili wapate busara japo kidogo. Hivyo ndivyo ninavyojisikia sijui kama kuna wengine (yaani mpaka mtu unalaani kuwa Mtanzania)
1. Kila mara kiongozi wa CCM anaposimama kuongea yaani anaoongea vitu ambavyo vinakera mpaka huelewi kama huyo kiongozi alishawahi kwenda shule
2. Nimeangalia vipindi vya bunge toka juzi lakini kila mara Mbunge wa CCM anaposimama anachoongea kinakera zaidi.
Yaani natamani ningekuwa na uwezo wa kuwafanya hawa jamaa wa CCM wasiwe chama tawala ili wapate busara japo kidogo. Hivyo ndivyo ninavyojisikia sijui kama kuna wengine (yaani mpaka mtu unalaani kuwa Mtanzania)