Sijui ni mimi tu au kuna wengine?

Mkodoleaji

JF-Expert Member
Apr 27, 2008
458
138
Jamani CCM ndiyo chama tawala kwa Tanzania hilo halina ubishi. Lakini mwenendo wa siku za hivi karibuni kweli unanitisha.
1. Kila mara kiongozi wa CCM anaposimama kuongea yaani anaoongea vitu ambavyo vinakera mpaka huelewi kama huyo kiongozi alishawahi kwenda shule
2. Nimeangalia vipindi vya bunge toka juzi lakini kila mara Mbunge wa CCM anaposimama anachoongea kinakera zaidi.

Yaani natamani ningekuwa na uwezo wa kuwafanya hawa jamaa wa CCM wasiwe chama tawala ili wapate busara japo kidogo. Hivyo ndivyo ninavyojisikia sijui kama kuna wengine (yaani mpaka mtu unalaani kuwa Mtanzania)
 
Pole kaka ndio maisha...waache waendelee kutesa ...Lakini siku zao zinakaribia..kuna siku watarudi shule na kusoma wakaelewa kuwa watanzania si wajinga ki hivyo....
 
Jamani CCM ndiyo chama tawala kwa Tanzania hilo halina ubishi. Lakini mwenendo wa siku za hivi karibuni kweli unanitisha.
1. Kila mara kiongozi wa CCM anaposimama kuongea yaani anaoongea vitu ambavyo vinakera mpaka huelewi kama huyo kiongozi alishawahi kwenda shule
2. Nimeangalia vipindi vya bunge toka juzi lakini kila mara Mbunge wa CCM anaposimama anachoongea kinakera zaidi.

Yaani natamani ningekuwa na uwezo wa kuwafanya hawa jamaa wa CCM wasiwe chama tawala ili wapate busara japo kidogo. Hivyo ndivyo ninavyojisikia sijui kama kuna wengine (yaani mpaka mtu unalaani kuwa Mtanzania)

Wabunge wa CCM ni mchanganyiko wa Uoza kama Mfereji wa maji machafu paleBonde la Msimbazi.

Kuna wenye vyeti vya kufoji.

Kuna wasomi wenye kiburi cha shule

Kuna Ngumbaru

Kuna wachawi na waganga wa kienyeji.

Kuna Wahuni wa mitaani.

Kuna Wezi majmbazi wauaji na Wabakaji.

Kuna Washirikina.


Kuna wassenge na Wasagaji.

Kuna Mabasha.


Kuna Malaya wa kutupwa

Kuna waungwana wawili watatu

Kuna chcochote cha maana utegemeacho kutoka kwenye kambi yenye mseto kama huo hapo juu?
 
Wabunge wa CCM ni mchanganyiko wa Uoza kama Mfereji wa maji machafu paleBonde la Msimbazi.

Kuna wenye vyeti vya kufoji.

Kuna wasomi wenye kiburi cha shule

Kuna Ngumbaru

Kuna wachawi na waganga wa kienyeji.

Kuna Wahuni wa mitaani.

Kuna Wezi majmbazi wauaji na Wabakaji.

Kuna Washirikina.


Kuna wassenge na Wasagaji.

Kuna Mabasha.


Kuna Malaya wa kutupwa

Kuna waungwana wawili watatu

Kuna chcochote cha maana utegemeacho kutoka kwenye kambi yenye mseto kama huo hapo juu?


Duh kwa huu mchanganyiko ungekuwa ni chakula, ukila lazima tumbo litaharibika tu! Na hali halisi iliyopo kwenye chama inaonyesha hili linaukweli mtupu!
 
wabunge wa ccm ni mchanganyiko wa uoza kama mfereji wa maji machafu palebonde la msimbazi.

Kuna wenye vyeti vya kufoji.

Kuna wasomi wenye kiburi cha shule

kuna ngumbaru

kuna wachawi na waganga wa kienyeji.

Kuna wahuni wa mitaani.

kuna wezi majmbazi wauaji na wabakaji.

Kuna washirikina.


Kuna wassenge na wasagaji.

kuna mabasha.


kuna malaya wa kutupwa

kuna waungwana wawili watatu

kuna chcochote cha maana utegemeacho kutoka kwenye kambi yenye mseto kama huo hapo juu?

same applies to chadema
 
Wabunge wa CCM ni mchanganyiko wa Uoza kama Mfereji wa maji machafu paleBonde la Msimbazi.

Kuna wenye vyeti vya kufoji.


Kuna wasomi wenye kiburi cha shule


Kuna Ngumbaru


Kuna wachawi na waganga wa kienyeji.


Kuna Wahuni wa mitaani.


Kuna Wezi majmbazi wauaji na Wabakaji.


Kuna Washirikina.



Kuna wassenge na Wasagaji.


Kuna Mabasha.



Kuna Malaya wa kutupwa


Kuna waungwana wawili watatu


Kuna chcochote cha maana utegemeacho kutoka kwenye kambi yenye mseto kama huo hapo juu?


Du!
 
CCM si akina Kibonde. Jana nimerudi hm jioni. Kuwasha TV bungeni anaongea Chilolo, ameongea pumba za kumsafisha na kumpamba JK, pale... uchafu tupu.. alipoongea Lema na Wenje you could easily discern the two lines of thinking.
 
Lakini sisi tunaoangalia kama tuna akili basi tupembue kati ya mchele na pumba.
 
Hii ni sample tu !! kama sample yenyewe ndo hiv unategemea nini ??

1. Captain Komba - analala bungeni, akukulupushwa usingiz unategemea ataongea nini?
2. Rostam Aziz -mwiz mwiz tu, yeye afikilia kuiba tu.
3. Abood wa Moro- Elimu form4. upstairs hamna ktu kisiasa, ye zake biashara tu.
4. Nyarandu -mtu wa totoz
5. Lukuvi - kihiyo, kafoji vyeti
6. Mama Rwakatale- mlafi,mbinafsi kila kitu ataka yeye.
7. Viki kamata- mmh..sisemi hapa...!
8. Rita Mlaki -muuza sura, tetesi; yupo kimaslahi binafsi tu.
9. Makongolo -fisadi, kihiyo
10. Idi Azan -kihiyo
11. Zungu -tetesi; muuza unga
12....
13....
14....

mwenye data aendeleze hii sample!
 
Jamani CCM ndiyo chama tawala kwa Tanzania hilo halina ubishi. Lakini mwenendo wa siku za hivi karibuni kweli unanitisha.
1. Kila mara kiongozi wa CCM anaposimama kuongea yaani anaoongea vitu ambavyo vinakera mpaka huelewi kama huyo kiongozi alishawahi kwenda shule
2. Nimeangalia vipindi vya bunge toka juzi lakini kila mara Mbunge wa CCM anaposimama anachoongea kinakera zaidi.

Yaani natamani ningekuwa na uwezo wa kuwafanya hawa jamaa wa CCM wasiwe chama tawala ili wapate busara japo kidogo. Hivyo ndivyo ninavyojisikia sijui kama kuna wengine (yaani mpaka mtu unalaani kuwa Mtanzania)

Hukerwi peke yako ndugu ukute mimi ni zaidi, naona tuendelee kuwaunga mkono wanasiasa wazalendo bila kukata tamaa ipo siku kitaeleweka tu.
 
Jamani CCM ndiyo chama tawala kwa Tanzania hilo halina ubishi. Lakini mwenendo wa siku za hivi karibuni kweli unanitisha.
1. Kila mara kiongozi wa CCM anaposimama kuongea yaani anaoongea vitu ambavyo vinakera mpaka huelewi kama huyo kiongozi alishawahi kwenda shule
2. Nimeangalia vipindi vya bunge toka juzi lakini kila mara Mbunge wa CCM anaposimama anachoongea kinakera zaidi.

Yaani natamani ningekuwa na uwezo wa kuwafanya hawa jamaa wa CCM wasiwe chama tawala ili wapate busara japo kidogo. Hivyo ndivyo ninavyojisikia sijui kama kuna wengine (yaani mpaka mtu unalaani kuwa Mtanzania)
Usishangae hiyo ndiyo Level ya busara na imechujwa kwenye kamati ya chama, hivyo usingekuwa mchujo sijui ingekuwaje !!!!
 
same applies to chadema

CHADEMA unawajua lakini??? kamwulize JK - atakueleza ............. hadi leo HAIBA YAKE HAIJARUDI - LILE TABASAMU LA 2005 - KWISHNEY
akiwaza CHADEMA ..............halali usingizi .........kama huamini .........nenda KAMWULIZE
 
nadhani Mungu sii mchoyo wa wapenda haki. Ameruhusu CCM wamweke mama makinda ili bunge liharibike kabisa na lisiwe na mwelekeo hapo wengi watafumguliwa akili zao, uozo mwingi utajulikana, CCM wataparaganyika, watapigana bungeni live, JK atateuwa Waziri Mkuu mpya,wengi wa mawaziri watatoka,bunge litamkataa Makinda kwa ukilaza wake, atarudi Mzee Sita na baade katiba itaundwa umpya mambo mengi yatakuwa sawa nina imani hiyo nimeona maono kama (Raven) kwa wanaongalia Thats So Raven.Yangu macho.
 
same applies to chadema

CHADEMA unawajua lakini??? kamwulize JK - atakueleza ............. hadi leo HAIBA YAKE HAIJARUDI - LILE TABASAMU LA 2005 - KWISHNEYakiwaza CHADEMA ..............halali usingizi .........kama huamini .........nenda KAMWULIZE

Mkuu, hapo nilipo-color iko wazi kweli kweli.
Lakini raisi wa ukweli, Dr Slaa, ameendelea kuwa na uso wa matumaini, na amezidi kuonekana kijana pamoja na kuchakachuliwa uraisi.
 
Back
Top Bottom