Sijui kilitokea nini hapa!!!

Salamander

JF-Expert Member
Dec 7, 2012
28,538
15,739

CYUwVKSWkAEg7g0.jpg


 
Siku zidane alipogeuka kondoo kwa kumpa bichwa la kifua michael matelazi. Fainali za kombe la dunia nchini Ujerumani 2006
 
Zidane ana hasira, nadhani sasa kawa mtu mzima. Hiyo haikuwa mara ya kwanza kwa Zidane kupewa red card kwa kumdunda mtu. Fuatilia alipokuwa Ligue 1 & Serie A.

Alichofanya Marco Materazzi ni kumprovoke kwa makusudi, kwa sababu aliijua temper ya Zidane. And it worked, French wakawa reduced to 10 men & Italy went on to lift the 2006 WORLD CUP.
 
Back
Top Bottom