Nimekosa shule siku mbili, nilikuwa na msiba. Najaribu kujieleza kwa mwalim wangu wa darasa kwa kiingereza, SORRY MADAM,I WAS NOT PRESENT TWO DAYS BEFORE BECAUSE I WAS DIED. Ananicheka. Nauliza. Kiingereza sahih cha kufiwa ni kipi.
!Nimekosa shule siku mbili, nilikuwa na msiba. Najaribu kujieleza kwa mwalim wangu wa darasa kwa kiingereza, SORRY MADAM,I WAS NOT PRESENT TWO DAYS BEFORE BECAUSE I WAS DIED. Ananicheka. Nauliza. Kiingereza sahih cha kufiwa ni kipi.
Mimi pia, kinanipa tabu.
I tried you but where (nilijaribu weee lakini wapi)
Nimekosa shule siku mbili, nilikuwa na msiba. Najaribu kujieleza kwa mwalim wangu wa darasa kwa kiingereza, SORRY MADAM,I WAS NOT PRESENT TWO DAYS BEFORE BECAUSE I WAS DIED. Ananicheka. Nauliza. Kiingereza sahih cha kufiwa ni kipi.
cc: King'asti, andate, Mokoyo,Ndugu wana JF, mimi nina miaka 27, nimeingia kwenye mahusiano na wasichana watatu. STD7, chuo na wa cheti. Hawa wametokea kunipenda,.
Muda wa kuoa umefika, nachanganyikiwa nimuoe yupi. Huyu std7 ana akili ya maisha, huwezi kumsikia akiniomba hata vocha. Ni mm naamua kumtumia. Hofu yangu je, mimi nina mastaz ya elimu.
Je,tutaendana ?
Mimi pia, kinanipa tabu.
I tried you but where (nilijaribu weee lakini wapi)
TYTA umeua!mi nilitaka kumwambia si kiingereza chako tu hata kiswahili chake shida tupu,pia kwa nukuu zako hapo umetufunulia kuwa huyu mtu anaishi maisha ya kujiongopea na anatamani angekuwa na elimu ,tatizo hataki kujielimisha kwa hiyo amebaki kuishi kwa fantasy ya mtu mwenye elimu!Ahsante Tyta we wajua kuwafuatilia wazushi na watoto wadogo(27yrs mdogo au akili finyu?)hizi elimu hizi????...ufafanuzi tafadhari,,...
Nimuoe yupi kati ya hawa?
Started by ESPIRIT, 23rd July 2014 22:02
cc: King'asti, andate, Mokoyo,
Nimekosa shule siku mbili, nilikuwa na msiba. Najaribu kujieleza kwa mwalim wangu wa darasa kwa kiingereza, SORRY MADAM,I WAS NOT PRESENT TWO DAYS BEFORE BECAUSE I WAS DIED. Ananicheka. Nauliza. Kiingereza sahih cha kufiwa ni kipi.