Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,255
- 88,201
Yani cha kwanza unafanya dakika 2? Umekua kuku?Ndomana me naunganishaga na cha pili no stop,mambo ya kupumzika baada ya kwanza ndo husababisha mwanamke anafreeze anaanza mwanzo kihisia(coz cha kwanza ndani ya dkk 1 hadi 2) so usipomfikisha actually lazima anune tu..Maana yy kwenye akili yake alijua kwa kuwa sasa umepumzika sasa umpe show ya kibabe na ww umembwela....Faida ya kuunganisha ni kuwa lazima mwanamke akojoe so mkipumzika hata mkianza tena anakuwa satisified tayari!