Sijawahi kusikia Sifa Mbaya kwa Wanawake wenye Majina haya yafuatayo hakika Mwenyezi Mungu azidi Kuwabariki Maishani

1. Deborah
2. Janeth
3. Grace
4. Irene
5. Agnes
6. Lilian
7. Catherine

Jiandaeni au Kaeni tayari sasa kwa Majina ya Wanawake ambao ukiwakuta Wametulia Kitabia Katambike Kwenu Okay?
1.Kuna Deborah hapa Mtaani ni muongo na mchonganishi huyo?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
2. Janeth amezubaa sana
3. Grace ninaowajua wote ni malaya mmoja alizalishwa akiwa ana miaka 16 akapata mimbq akazalishwq akaja tena akapata Bwana akaolewa na akaachika baada ya huyo Bwana kumtafutia kazi nzuri na hiyo kazi akapoteza Sasa hivi anauza tu uzazi. Mwingine Grace alikuwa anatembea na Mzee aliyemzidi miaka 38.
4. Irene ninaemjua anagawa kama pipi na muongeaji kama radio
5. Lilian ni bishoo na amejaa tamaaa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Jina haliakisi tabia ya Mtu usidanganye watu
 
1.Kuna Deborah hapa Mtaani ni muongo na mchonganishi huyo?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
2. Janeth amezubaa sana
3. Grace ninaowajua wote ni malaya mmoja alizalishwa akiwa ana miaka 16 akapata mimbq akazalishwq akaja tena akapata Bwana akaolewa na akaachika baada ya huyo Bwana kumtafutia kazi nzuri na hiyo kazi akapoteza Sasa hivi anauza tu uzazi. Mwingine Grace alikuwa anatembea na Mzee aliyemzidi miaka 38.
4. Irene ninaemjua anagawa kama pipi na muongeaji kama radio
5. Lilian ni bishoo na amejaa tamaaa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Jina haliakisi tabia ya Mtu usidanganye watu
Mxieeewwww!!! Yani we mwehu umeponda jina langu xzgdddvvfgccc nimekutukana mpk mwisho 😏😏😏
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom