Sijawahi kujihusisha na uchawi, Je! naweza kulogeka?

Watu wengi wanafikiri mtu akilogwa ni akili kuvurugika au kuumwa magonjwa yasiyopona au kupata ajali na kufa.

Kwa taarifa yako zaidi ya asilimia 75 ya Wataanzania wote walishalogwa kabisa kabisa, asilimia 23.6 baada ya muda nao ulozi utawapata.
 
Wengi wanatamba kuwa hawaini uchawi,uchawi ni imani tu, mambo yao yanawaendea vizuri tu, lakini anasahau alivokuwa mimba mamake alitumia dawa za kinga,alivokuwa mchanga alivalishwa likamba jeusi lina mafundo kibao kiunoni na mkononi,na ulivomkubwa mamake anatumia dawa ili mwanae huko alipo mambo yambyookee.
 
Wengi wanatamba kuwa hawaini uchawi,uchawi ni imani tu, mambo yao yanawaendea vizuri tu, lakini anasahau alivokuwa mimba mamake alitumia dawa za kinga,alivokuwa mchanga alivalishwa likamba jeusi lina mafundo kibao kiunoni na mkononi,na ulivomkubwa mamake anatumia dawa ili mwanae huko alipo mambo yambyookee.

Teh! Falsafa ngumu sana hii.
 
Unarogeka kaka wanarogwa watoto wadogo wasio jua waganga wewe muombe mungu akuepushe na husda za wanadamu
 
IN THE NAME OF JESUS, I REVERSE THE CURSE AND ALL EVIL.


Psalm 79:12 And render unto our neighbours SEVENFOLD into their bosom their reproach, wherewith they have reproached thee, O Lord.


IN THE NAME OF JESUS, I BREAK AND RETURN ALL EVIL SEVENFOLD, AND I BIND IT TO THEM BY THE BLOOD OF JESUS.


Gen 4:15 And the LORD said unto him, Therefore whosoever slayeth Cain, vengeance shall be taken on him SEVENFOLD.


Gen 4:24 If Cain shall be avenged sevenfold, truly Lamech SEVENTY and SEVENFOLD.
Read Psalm 109 to see what King David prayed against people coming against him.


In Psalm 7, verse 16, King David prays, "His mischief shall RETURN upon his own head, and his violent dealing shall come down upon his own pate (scalp).


In I Kings 2, verse 44, King David said, "...so the Lord will RETURN your evil upon your own head.


Joel 3:4 - ...Even if you pay Me back, swiftly and speedily I will RETURN your deed [of retaliation] upon your own head.


Joel 3:7 - Behold, I will stir them up out of the place to which you have sold them and will RETURN your deed [of retaliation] upon your own head.


You RETURN curses and all evil because you don't want what has been SENT to you. You should not RETURN it to cause harm to anyone. It is God's business how and when and if He chooses to take action on the senders. Our experience is that He DOES take action. If you do not return curses and all evil, then you are accepting the curses and all evil that has been SENT to you.
Then, there is always II Kings 2:23 - He (Elisha) went up from Jerico to Bethel. On the way, young [maturing and accountable] boys came out of the city and MOCKED him and said to him, Go up [in a whirlwind], you baldhead! Go up, you baldhead! Verse 24 - And he turned around and looked at them and CALLED A CURSE DOWN on them in the name of the Lord. And two she-bears came out of the woods and ripped up forty-two of the boys.


Hapo sawa.
 
Nami Nasema "Ukimuona Mtu Anapiga Vita Sana Uchawi Jua Yeye Ni Miongoni Mwa Wafuasi Wa Uchawi, Pia Ukiona Mtu Kila Kitu Anawaza Uchawi Tu Basi Kwao Kuna Wachawi Na Yeye Mwenyewe Ni Mchawi... wanajikinga Kwa Maneno Mazuri Ya Jina La Allah, jina la Mtume Na Jina La Yesu Wasijulikane Lakini Mtatudanganya Sisi Hamtamdanganya Mola Wenu To All Religious Witches


"Rakims"
 
Wadau naomba kujua kama uchawi upo kweli na nini hasa husababisha wachawi kumshambulia mtu? Na namna ya kujikinga nao.
 
Natoa hi kwa wazee na vijana, uchawi upo na anae ponya ni Allah pekeake waganga nisababu tu, na mganga wakweli ni yule anaeanza kukutibia na pesa unamlipa baadae.
 
Uchawi haupo, umeandikwa kwenye biblia Kwa sababu biblia ni vitabu kama vilivyo vitabu vingine
 
IPO hivi umeme hauwezipenya kwenye kizuizi mfano plastics au Mbao ,lzm kuwe na kiunganishi( hofu,woga,kutenda dhuluma nk maouvu yote).uchawi upo uamini usiamini lkn ili ukudhuru ni lazima uwe na connection yaani kwanza ni lazima uwe na uoga au hofu ya kuamini katika kurogwa,huwezi logeka km hauamini ktk ulozi,hakuna MTU mwenye uwezo wa kumloga MTU isipokuwa anaerogwa lazima aamini ya kuwa anaweza logwa au anaejihusisha na mambo ya kishirikina kuwa mchawi au kwenda Kwa waganga au kujihusisha na mambo ya madawa pale unakuwa umeweka connection, yaani kuruhusu wwe kuunganika na nguvu hasi unaziruhusu mwenyewe kujidhuru,ndo maana mchawi usumbua waoga akiingia ndani ukaogopa akutishapo ndo Furaha yake, lkn akiingia ukawa unamuangalia tu unamuacha afanye yake hawezi rudi tena,kinga ya uchawi ni kushikamana na imani yako ya dini,au kuyapuuzia kutoyaamini mambo ya kishirikina unaishi Kwa amani.Mifano hai wengine tumerogwa tangu hatujazaliwa had leo tunarogwa lkn mambo yetu yanatunyookea ni Kwa sababu atuamini hayo.Cha kukusaidia tafuta Vitabu au elimu za nguvu za asili uone zitendavo Kazi .power of positive thinking. Ungekuwa na nguvu ungeweza kuwasaidia waafrica wasichukuliwe utumwani au kutawaliwa na wakoloni ,lkn hawakurogeka sababu wale hawakuamini ktk uchawi.
 
Jamii nyingi ziaminizo uchawi ni duni kimaendeleo pia angalia hata mikoa yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom