Hahahaaaa.......nimezungumzis Lisu na Magufuli siyo na Kavishe!
Beberu anaiita kuwa kanuni ya dole gumba:
1. Kuwa mchokoza mada, uwe na kumbukumbu.
2. Kuwa mwongo, jifunze kwanza kukumbuka.
3. Kuwa mwizi, jifunze kwanza mbio
Wewe bwashee kumbukumbu baadaye?
Hiiiiii bagosha 😂😂!