BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wametangaza kutoa site tano kwa ajili ya kujenga lodge na tented camps.
Tunaomba mchakato uwe fair na local investors to be given preferential consideration as suggested.
Najuwa kitu ambacho kitakuwa obstacle kwa wazawa ni fedha ambayo kwangu mimi sioni kama ni factor kubwa kwani you can always source funds when you get the site.
Naomba bodi itumie busara kwenye kufanya maamuzi ili big fish wasi ununue huu mchakato.
Nawakilisha
Tunaomba mchakato uwe fair na local investors to be given preferential consideration as suggested.
Najuwa kitu ambacho kitakuwa obstacle kwa wazawa ni fedha ambayo kwangu mimi sioni kama ni factor kubwa kwani you can always source funds when you get the site.
Naomba bodi itumie busara kwenye kufanya maamuzi ili big fish wasi ununue huu mchakato.
Nawakilisha