Sifa za wanawake wanaopenda kuvaa madela

Nimejaribu kufanya research ndogo ya mademu wanaopenda kuvaa madera. Matokeo niliyoyapata:
1. Wanapenda taarabu na vigodoro, kwenye rusharoho huko balaa
2. Waongo, wambeya na washinda vibarazani
3. Wengi hawajaolewa
4. Ni kero kwa wanaume yaani ukikutana nae tu anaomba umnunulie chipsi
5. Ni mabingwa wa kuvuruga ndoa za watu na wanapenda kutembea na waume za watu
6. Wana matusi na hawaangalii wakati wala eneo alilopo. Matusi anayoporomosha hata kwa mtoto wake utafikiri alibakwa
7. .... ongezea

Barafuyamoto
8. Asilimia kubwa wanajichubua, unakuta knuckles nyeusii tiii ila sura "nyeupe".

9. Wengi ni wazaramo, wenyeji wa Tanga, in short wa mwambao etc!

10. Waswahili, ustaarab zero!

11. Wengi ni failure wa shule TENA la saba au ni drop out wa sekondari.

12. Kitandani wengi wako poa.

13. Akipokea simu kwenye Dala dala halafu awe amesimama abiria mtakoma kila mtu atajua anacho ongea, akianza kucheka...
Hapana jaman ukweli upo kwa asilimia chache sio wote..lile ni vazi tu inategemea MTU analichukuliaje...ila namba 12 ni kweli kabisaa
 
Nilikuwa na mpango wa kununua moja, lakini baada ya uzi huu nimeghairi.
Hahaaa my dear kanunue tu inategemea unalitumiaje coz wengine utakuta kaweka wigi la bluu NA dera kalikunja mikononi NA kwa chini kakunjia kwenye mapaja ili umbo lake lionekane BT kama unalivaa kistaarabu haina shida
 
Si kweli kwamba ningekutana na mleta uzi pangechimbika laa si kweli,binafsi sina ukorofi wa kipuuzi.

Kifupi,huo ndio ulikua ushauri wangu na



kama umeamua kutoufata sawa ni juu
yako ,isipokua ni mambo madogo sana
kuyatilia maanani kwani wavaa madera
wapo nchi nzima jitahidini huo ujumbe
wenu uwafikie wote,lakini dah! sijawahi tegemea mwanamume ukae na kujadili ishu ya wanawake kuvaa madera na kuinasibisha na tabia za watu na kujiapiza eti siwezi kukushawishi kukubaliana na mtazamo wangu,na hii inadhihirisha kwamba tatizo sio madera bali tatizo ni mtazamo hasi dhidi wanaovaa hayo madera inasikitisha kwa kweli.
Hakuna shida ila bora tukubaliane kutokukubaliana basi! Kwanza Derah sio asili yetu, sio vazi la kitanzania, vazi letu ni gauni, kangha na au kitenge, huu utandawazi ndio unaleta sheeda, global village ni hataree! mleta mada ana hoja bro, usimtupe kapuni, kuna kitu kakiona, Msome tena kisha UTAFAKARI!
 
Hakuna shida ila bora tukubaliane kutokukubaliana basi! Kwanza Derah sio asili yetu, sio vazi la kitanzania, vazi letu ni gauni, kangha na au kitenge, huu utandawazi ndio unaleta sheeda, global village ni hataree! mleta mada ana hoja bro, usimtupe kapuni, kuna kitu kakiona, Msome tena kisha UTAFAKARI!
asili ya dera ni Somalia na linavaliwa na wakazi wengi wa mijini (mwambao Mombasa,Tanga,Pwani,Dar) na sasa hivi lishaingia mpaka mikoani(vijijini).Tofauti haya madera mengi yanayoimport-iwa yametengenezwa kwa khanga au vitambaa vya kitenge.Tatizo la mtoa mada alitaka au alikuwa na mtazamo wake hasi juu ya wavaaji aidha kutokana na asili ya anakotoka au aliwaingia hao wavaaji na wakamrudi.Tungejua asili ya mtoa mada/hata yako ungeona kuna conflict of interest na hasa kwenye utamaduni/imani aliyokulia.
 
Hakuna shida ila bora tukubaliane kutokukubaliana basi! Kwanza Derah sio asili yetu, sio vazi la kitanzania, vazi letu ni gauni, kangha na au kitenge, huu utandawazi ndio unaleta sheeda, global village ni hataree! mleta mada ana hoja bro, usimtupe kapuni, kuna kitu kakiona, Msome tena kisha UTAFAKARI!

Kwa kuwa umenitaka nisome tena, nitasoma na nitatafakari upya pengine ni kweli unayayoyasema sina sababu ya kubisha sana,lakini kwa kawaida huwa mara nyingi sipendi sana kujadili jamii fulani au watu fulani na kuitumbukiza jamii husika kwenye makosa ilihali najua fika inawezekana kuwa si makosa yao, bali ni mtazamo hasi wa wanaokosoa ,but i took your advice to reread and try to digest kilichoandikwa na mleta hoja huenda nikawa kwenye viatu vya mleta hoja na kuelewa alikua amelenga nini japo kwa tahadhari ili nisiwe nje ya misingi.
 
Nimejaribu kufanya research ndogo ya mademu wanaopenda kuvaa madera. Matokeo niliyoyapata:
1. Wanapenda taarabu na vigodoro, kwenye rusharoho huko balaa
2. Waongo, wambeya na washinda vibarazani
3. Wengi hawajaolewa
4. Ni kero kwa wanaume yaani ukikutana nae tu anaomba umnunulie chipsi
5. Ni mabingwa wa kuvuruga ndoa za watu na wanapenda kutembea na waume za watu
6. Wana matusi na hawaangalii wakati wala eneo alilopo. Matusi anayoporomosha hata kwa mtoto wake utafikiri alibakwa
7. .... ongezea

Barafuyamoto
8. Asilimia kubwa wanajichubua, unakuta knuckles nyeusii tiii ila sura "nyeupe".

9. Wengi ni wazaramo, wenyeji wa Tanga, in short wa mwambao etc!

10. Waswahili, ustaarab zero!

11. Wengi ni failure wa shule TENA la saba au ni drop out wa sekondari.

12. Kitandani wengi wako poa.

13. Akipokea simu kwenye Dala dala halafu awe amesimama abiria mtakoma kila mtu atajua anacho ongea, akianza kucheka...
Simu zao zimejaa singeli na taarabu.Jeuri na wanapenda kunasisha dela kwenye chu..pi/Dela kunasia..
 
Mbona nyie msiovaa hayo madera ndio wenye tabia za hovyo,yaani kabisa umekaa ukatafakari ukaona uje na huu upuuzi unaouita utafiti,dhahiri unaonekana hizo ulizoziorodhesha ndio tabia zako,kuna usemi unaosema simple mind discuss people ,na wewe ndio simple mindkwa sababu umekuja hapa na kujadili watu,tafuta shughuli ingine itakayokuongezea maarifa badala ya kuja hapa na kujadili watu,sijui waswahili ,wazaramo au watu wa Tanga au pwani No,tafuta ishu ingine ya maana kwani unajiangusha wewe siyo great thinker,Great thinker hawezi kuja na petty ishu ya kidaku kama hii,subiri wadaku wenzako wakusupport lakini siyo great thinker hawezi kujadili udaku.
Hili jiwe gizani..
 
Nimejaribu kufanya research ndogo ya mademu wanaopenda kuvaa madera. Matokeo niliyoyapata:
1. Wanapenda taarabu na vigodoro, kwenye rusharoho huko balaa
2. Waongo, wambeya na washinda vibarazani
3. Wengi hawajaolewa
4. Ni kero kwa wanaume yaani ukikutana nae tu anaomba umnunulie chipsi
5. Ni mabingwa wa kuvuruga ndoa za watu na wanapenda kutembea na waume za watu
6. Wana matusi na hawaangalii wakati wala eneo alilopo. Matusi anayoporomosha hata kwa mtoto wake utafikiri alibakwa
7. .... ongezea

Barafuyamoto
8. Asilimia kubwa wanajichubua, unakuta knuckles nyeusii tiii ila sura "nyeupe".

9. Wengi ni wazaramo, wenyeji wa Tanga, in short wa mwambao etc!

10. Waswahili, ustaarab zero!

11. Wengi ni failure wa shule TENA la saba au ni drop out wa sekondari.

12. Kitandani wengi wako poa.

13. Akipokea simu kwenye Dala dala halafu awe amesimama abiria mtakoma kila mtu atajua anacho ongea, akianza kucheka...
Watu kma nyie tanga tunawaita majitu ya bara au machogo, waropokaji msio namaadili, kwawatu wapwani nivazi labusara kuliko jeans nalimevaliwa kabla ya hio chips wala simu zamikononi kuenea
 
Hili jiwe gizani..

Hizo nguo nazifahamu miaka mingi sana,kwani tulikua na majirani zetu wasomali ndio nguo zao hizo,ila wabongo wamezichangamkia miaka ya karibuni,sasa napoona mtu analeta hoja isiyofanana na ukweli sina budi kupinga, na tena hizo nguo siku hizi kwa wanawake wengi hapa kwetu yaani ndio imekuwa kama ndio jezi zao,wanavaa misibani,harusini na kwingineko, tembea mikoa yote kwenye miji mikubwa utazikuta wanauza,sasa huwezi kuifanya tabia ya mndengereko mmoja uliyegombana nae huku kavaa dera basi ndio iwe tabia ya wavaa madera wote laa hasha hii si kweli mkuu,tuhukumu kwa haki na kweli na si kwa fikra na mitizamo ya nafsi zetu.
 
Wanasafirisha magar nje ya Nchi in Transit cheki huyu sapna
1474232162629.jpg
 
Hizo nguo nazifahamu miaka mingi sana,kwani tulikua na majirani zetu wasomali ndio nguo zao hizo,ila wabongo wamezichangamkia miaka ya karibuni,sasa napoona mtu analeta hoja isiyofanana na ukweli sina budi kupinga, na tena hizo nguo siku hizi kwa wanawake wengi hapa kwetu yaani ndio imekuwa kama ndio jezi zao,wanavaa misibani,harusini na kwingineko, tembea mikoa yote kwenye miji mikubwa utazikuta wanauza,sasa huwezi kuifanya tabia ya mndengereko mmoja uliyegombana nae huku kavaa dera basi ndio iwe tabia ya wavaa madera wote laa hasha hii si kweli mkuu,tuhukumu kwa haki na kweli na si kwa fikra na mitizamo ya nafsi zetu.
Mimi ni mzaramo pia ninaishi mitaa inayoongoza kwa kuvaa madela na asilimia kubwa ya wavaa madela sifa zao zipo hapo.Mleta mada amelenga kwa takribani 60 percent.Madela yanatumika kama sale za shuguli na pia wasasambuaji wengi uswahilini including machoko.Huko mikoani hayavaliwi kwa asilimia kubwa kama pwani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom