howard
Senior Member
- Feb 21, 2011
- 188
- 28
Nimetafakari sana baada ya kuona barua ya mzee Butiku (Soma Unawezakuendelea bonyeza HAPA) na kujiuliza yafuatayo. Katika mbio za urais ya mwaka 2005 kundila wanamtandao liundwa na vinara 6 ingawa kundi hili lilikuwa kubwa kimkakati.Vinara hawa ni JK, ambaye sasa ni Rais, Rostam, Lowasa (EL), Samwel Sita (SS),Membe (BM) and Chenge (EC).
Najiulizamaandalizi yao na muungano wao ulikuwa una lengo gani? Je, kama taarifa zakiusalama zinaonyesha kuwa uchaguzi ndani wa CCM wa mwaka 2005 ulighubikwa narushwa na wana mtandao wakionyeshewa vidole kimsingi. Je akina EL, SS na BMhawafaumu wapi pesa za kampeni kwa kundi lao zilikotoka? Na kama zilipatika kwamchezo mchafu, je inawezekanaje wakajitenga na uchafu na maovuwalioyoisababishia taifa kwa sasa?
Kitu gani kimemtenganisha JK na EL? Nakwanini BM, SS na EL wametengana kuelekea 2015? Is there any clear demarcation which can separate EL, BM and SSfrom grand corruption? Why did they ruin and allow violations of nationalethics and interests in 2005 as pro-presidential contenders? Do they have moralauthority to be our custodians of our national resources in future?
Why do they come, divide and identify themselves to the commonTanzanians as different persons? Fortunately, all three have been part of thecurrent regime; do they assist the incumbent to achieve what they all agreed in2005? Were they united against common enemy? Did they know what it takes todream Tanzania? I bet they don't.
Tanzanians, Let us be wiser to look foralternatives as EL, BM and SS are all the same! They all don't know whyTanzanians are poor? They will never answer this question preciously ratherthan being divisive vices! I have so many questions to ask fellow Tanzanians and the three,why them and where do they get moral authority to think that they are the bestleaders for this country from 2015?
My take:Kati ya hawa hakuna presidential material kwa sababu wotesi-wasafi, wapenda makundi na ikitokea mmoja amepata watatupotezea muda kuhujumianana kulipizana visasi wakituacha hatuna muelekeo. Mungu ibariki Tanzania!
Najiulizamaandalizi yao na muungano wao ulikuwa una lengo gani? Je, kama taarifa zakiusalama zinaonyesha kuwa uchaguzi ndani wa CCM wa mwaka 2005 ulighubikwa narushwa na wana mtandao wakionyeshewa vidole kimsingi. Je akina EL, SS na BMhawafaumu wapi pesa za kampeni kwa kundi lao zilikotoka? Na kama zilipatika kwamchezo mchafu, je inawezekanaje wakajitenga na uchafu na maovuwalioyoisababishia taifa kwa sasa?
Kitu gani kimemtenganisha JK na EL? Nakwanini BM, SS na EL wametengana kuelekea 2015? Is there any clear demarcation which can separate EL, BM and SSfrom grand corruption? Why did they ruin and allow violations of nationalethics and interests in 2005 as pro-presidential contenders? Do they have moralauthority to be our custodians of our national resources in future?
Why do they come, divide and identify themselves to the commonTanzanians as different persons? Fortunately, all three have been part of thecurrent regime; do they assist the incumbent to achieve what they all agreed in2005? Were they united against common enemy? Did they know what it takes todream Tanzania? I bet they don't.
Tanzanians, Let us be wiser to look foralternatives as EL, BM and SS are all the same! They all don't know whyTanzanians are poor? They will never answer this question preciously ratherthan being divisive vices! I have so many questions to ask fellow Tanzanians and the three,why them and where do they get moral authority to think that they are the bestleaders for this country from 2015?
My take:Kati ya hawa hakuna presidential material kwa sababu wotesi-wasafi, wapenda makundi na ikitokea mmoja amepata watatupotezea muda kuhujumianana kulipizana visasi wakituacha hatuna muelekeo. Mungu ibariki Tanzania!