Siasa za majigambo zimewatawala viongozi wetu

fered mbataa

JF-Expert Member
Feb 19, 2012
240
35
binafsi huwa nawashangaa sana viongozi wetu waliokaa kisiasa zaidi na ndomaana maendeleo yapo polepole sana. Leo nilikuwa naangalia taarifa ya habari ya star tv, nape nauye msemaji wa ccm anaelezea habari ya ushindi wao wa uchaguzi mdogo,nilimshangaa sana alipo leta kejeli za uchaguzi kwenye habari muhimu ya maendeleo ya chama. Alianza kumpondea dr slaa et babu amezeeka awapishe vijana waongoze chama yeye anapeleka chama kubaya baada ya kushindwa na ccm katika chaguzi ndogo za udiwani. kwanza kauli aliyoisema haijapita kwenye mfumo wa akili ili ipimwe. Then hakukuwa na aja ya kueleza habari za chadema kwenye maendeleo ya ccm.binafsi naona hawa viongozi wetu wanalala wanawaza kampeni, wanaamka wanawaza kampeni,waongoza serikali wanawaza kampeni, wanafungua miradi imekaa kisiasa,waongoza ofisi mbalimbali huku wanapiga kampeni. Mwisho wake ni nini?, jamani mbona viongozi wanawaza uchaguzi tu wa 2015 je wanania kweli ya kuongoza taifa au wachume tu?sion mi umuhimu wa kampeni sasa wakati mtu unajukumu la kiuongoz amepewa na wananchi, nalisema hili sababu kesho bunge linaanza noambeni msikilize kauli zao muone ni za maendeleo au kampeni, ni mda mwingine wa kampeni za siasa kwenye chombo cha kuleta maendeleo.hatuigi mazuri ya nchi zilizoendelea na badala yake mabaya tu, mda wa kazi ni kazi na siasa ni siasa.subiri usikie hasa ili la treni ya mwakiembe.
 
kwani umemuona NAPE NI mkuregenzi wa wizara au halmashauri au ni katibu mkuu???
chadema maji shingoni m4c haisaidia ccm wanendelea wanachukua na kuweka waaaa...
kazi ya nape ni siasa na sio mtumishi wa serikali kwa hiyo ndo jukumu lake kwa ajili ya chama chake cha siasa kuendelea kushika dola... kalaga bao mbona slaa na wenzake kutwa kwenye vyombo vya habari mko kimya
kwisha habari yenu uchaguzi wa madiwani ni ishara tosha kuwa ccm bado ni chaguo la wananchi
 
Hivi Kabla ya uchaguzi huu Chadema ilikuwa na Kata ngapi na imepoteza ngapi baada ya matokeo? Mwenye jibu naomba anisaidie mimi uelewa mdogo ktk hili.
 
Ati ''Dr.Slaa anaiua Chadema".Hivi yeye na mafisadi ndani ya chama chake si ndiyo wangefurahi zaidi?

-CCM wanalilia Dr.Slaa aache siasa kwa kuwa wanajua huyo ndiye anayewajeruhi kweli kweli na anaiongoA chadema kwa weledi.
-Kama suala ni kuachia vijana wa sampuli ya Nape siasa ni bora wazee waendelee kuiongoza Chadema
-Kama kuwanyang'anya CCM kata 3 maeneo tofauti ya nchi kinyume na propaganda zao za ukanda na udini ndiyo anaiua Chadema hivyo basi kufa kwa aina hiyo tunakupenda.Si afadhali Chadema kina mtu wa kukiua na kukifufua kuliko CCM ambao hawana wa kuwafufua na chama kimekufa chenyewe?
 
Back
Top Bottom