mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Napenda saana kujua kuhusu siasa ya Ujamaa na Kujitegemea ni Sera ya CCM au Serikali(hasa katika kipindi hiki cha vyama vingi)na pia naomba kujua kama siasa hii Inatekelezeka,au imebaki kama Kauli mbiu?..
Nimejaribu kuwauliza wengi(hasa Wazee wastaafu) na wanasema haikuwa Sera ya Chama ila ni Fikra za Mwenyekiti(mwl Nyerere)na C C M yake enzi hizo, na pia Nimepata Jibu la Ajabu kutoka kwa Mzee mmoja hapa Morogoro kuwa Ujamaa ulizaliwa kwa Nyerere ukakulia kwa Mwinyi,ukaugulia kwa Mkapa na Ukafia kwa Kikwete ila Utazikwa na Vyama Vingi..
Sasa napenda Kujua ni sawa Kuuzika au ifanyike mbinu ya kuufufua?..
MY take: ni Bora kuacha mabaya ya Serikali zilizopita na Kuchukuwa yaliyoa Mazuri tu kwa Afya ya Taifa,JE ujamaa na kujitegemea ni Kuuchukuwa au Kuuacha? Nategemea mengi toka kwenu...
Ni mimi Mgeni wenu
Nimejaribu kuwauliza wengi(hasa Wazee wastaafu) na wanasema haikuwa Sera ya Chama ila ni Fikra za Mwenyekiti(mwl Nyerere)na C C M yake enzi hizo, na pia Nimepata Jibu la Ajabu kutoka kwa Mzee mmoja hapa Morogoro kuwa Ujamaa ulizaliwa kwa Nyerere ukakulia kwa Mwinyi,ukaugulia kwa Mkapa na Ukafia kwa Kikwete ila Utazikwa na Vyama Vingi..
Sasa napenda Kujua ni sawa Kuuzika au ifanyike mbinu ya kuufufua?..
MY take: ni Bora kuacha mabaya ya Serikali zilizopita na Kuchukuwa yaliyoa Mazuri tu kwa Afya ya Taifa,JE ujamaa na kujitegemea ni Kuuchukuwa au Kuuacha? Nategemea mengi toka kwenu...
Ni mimi Mgeni wenu