johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,010
Nasema Hili kwa sababu Watu wanaona Kiongozi kuigiza tamthilia, sinema nk ri kitu cha kushangaza, hiyo si kweli
Siasa ni Sanaa ya Maigizo
Hata yanayotokea bungeni mengi huwa ni maagizo yaani Watu wanatengenezewa script
Mfano Uwepo tu wa wabunge 19 wasio na Chama Kinyume cha takwa la Katiba ni Sinema tosha kabisa
Binafsi nimefurahi Dr Samia Kufanya movie za Kitalii zitakazolitangaza Taifa letu katika mfumo Rasmi
Tunahitaji Ubunifu ulio wazi kama Huu siyo Ule wa Janjajanja ya kukabidhiwa zawadi ya Jogoo
Hata vyama Vya Upinzani ni Waigizaji Watupu wanaorudi kustaafia CCM
Nawatakia Heri ya Mwaka Mpya!
Siasa ni Sanaa ya Maigizo
Hata yanayotokea bungeni mengi huwa ni maagizo yaani Watu wanatengenezewa script
Mfano Uwepo tu wa wabunge 19 wasio na Chama Kinyume cha takwa la Katiba ni Sinema tosha kabisa
Binafsi nimefurahi Dr Samia Kufanya movie za Kitalii zitakazolitangaza Taifa letu katika mfumo Rasmi
Tunahitaji Ubunifu ulio wazi kama Huu siyo Ule wa Janjajanja ya kukabidhiwa zawadi ya Jogoo
Hata vyama Vya Upinzani ni Waigizaji Watupu wanaorudi kustaafia CCM
Nawatakia Heri ya Mwaka Mpya!