Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,257
- 34,205
- Thread starter
- #21
Huko kwenu kuna umeme?Tuna maziwa (lakes) mengi, ni kutumia mifereji kuelekeza maji huko. Hatuhitaji mvua!
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Huko kwenu kuna umeme?Tuna maziwa (lakes) mengi, ni kutumia mifereji kuelekeza maji huko. Hatuhitaji mvua!
Kama maji hayajawai kupungua una maanisha rais anatudanganya?Tunajenga bwawa la kuhifadhi maji takribani ujazo zaidi ya billion.
Hakutakuwa na tishio la mabadiliko ya hali ya hewa kwa miaka 200
Pia unatakiwa ujue tangu dunia iwe na maji, hayajawahi kupungua
Mvua zipo tu !Wote tunajua bwawa hili linatumia maji ya mto/mito kama yalivyo mabwawa mengine tuliyo nayo hapa nchini.
Na kutokana na tatizo la mvua kwenye mabwawa yaliyopo tumekua tukiambiwa uzalishaji umeme umepungua kwasababu mvua zimepungua hivyo tujiandae kwa mgao.
Swali la kujiuliza ni hili..
Kwa uwepo wa mabadiliko ya tabia ya nchi na kutokana na ukweli kwamba bwawa la "stigler gorge" nalo linategemea mito/mvua je siku mvua zikipungua hatutakua na tatizo la mgao wa umeme?
NB: Hapa ninapoandika hii posti TANESCO wamekata umeme na simu ina 8% tu.
Uelewa wake ni mdogoKama maji hayajawai kupungua una maanisha rais anatudanganya?
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
mabadiliko ya hali ya hewa ni hoaxKama maji hayajawai kupungua una maanisha rais anatudanganya?
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Kuna uwezekano climatic change ni hoax?Tunajenga bwawa la kuhifadhi maji takribani ujazo zaidi ya billion.
Hakutakuwa na tishio la mabadiliko ya hali ya hewa kwa miaka 200
Pia unatakiwa ujue tangu dunia iwe na maji, hayajawahi kupungua
Labda ndiyo maana mwarabu kapewa misitu yetuMimi hofu yangu iko katika utunzaji mazingira ili angalau kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi. Tumekuwa wadhaifu sana katika hili.
Yaani wewe unamwamini Rais .... tena Rais wa Tanzania!!?Kama maji hayajawai kupungua una maanisha rais anatudanganya?
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
kwani mabadiliko ya tabianchi ni suala la Tanzania pekee au dunia nzima?Hatuongelei wazungu tunaongelea Tanzania. Mazingira ya wazungu ni tofauti na yetu.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Akili huna, kwa hyo Ethiopia kujenga bwawa kubwa kabisa la kuzalisha umeme ni wajinga? Haya huyo kikwete wako alieanzisha mradi wa gesi huko mnazi bei na kutuambia tunanunua gesi kwa bei ya chini na gesi itafanya umeme usikatike yako wapi? Yani Kuna vimtu vinajifanya vigreat thinker rrrr kumbe ni tope. Babako kikte aliuza hadi madini ya uranium, akagawa gesi ya mtwara ambapo kwasasa hatuna say yoyote kule na wala hatusogelei kule, haitoshi akaingia mikataba ya kiwehu hapo bandari ya bagamoyo. Afu leo masikini ww na njaaa zako na elimu yako ya makaratasi unakuja kekekeeeee. John mpinge kwa mengine Ila sio swala la miradi.Tulikuwa na rais kichaa ambaye aliwahi kutamka hadharani kuwa "mmi sishauriki, ten ukinishauri ndiyo unaharibu kabisa"
Huyu ndiye aliyeanza kumwaga mipesa kwenye mradi uliopitwa na zama wa kuzalisha umeme kwa maji. Mama anaingia madarakani tayari mipesa mingi imefukiwa pale. Anachofanya mama ni kuendelea kuimwaga mipesa ili walau turudishe hata 1 ya 10 ya mipesa iliyomwagwa pale.
Lkn kiukweli kwa mabadiliko ya tabia nchi yaliyoikumba dunia kujenga bwawa ni ushamba, upumbavu na kupoteza fedha. Dunia imehama huko hivi Sasa, ipo kwenye solar energy,, wind energy, geothermal energy, wave energy na nuclear energy.
Kwako kusafi au unajipendekeza kwa mabwana zako wazunguMimi hofu yangu iko katika utunzaji mazingira ili angalau kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi. Tumekuwa wadhaifu sana katika hili.
Wote tunajua bwawa hili linatumia maji ya mto/mito kama yalivyo mabwawa mengine tuliyo nayo hapa nchini.
Na kutokana na tatizo la mvua kwenye mabwawa yaliyopo tumekua tukiambiwa uzalishaji umeme umepungua kwasababu mvua zimepungua hivyo tujiandae kwa mgao.
Swali la kujiuliza ni hili..
Kwa uwepo wa mabadiliko ya tabia ya nchi na kutokana na ukweli kwamba bwawa la "stigler gorge" nalo linategemea mito/mvua je siku mvua zikipungua hatutakua na tatizo la mgao wa umeme?
NB: Hapa ninapoandika hii posti TANESCO wamekata umeme na simu ina 8% tu.
Tulikuwa na rais kichaa ambaye aliwahi kutamka hadharani kuwa "mmi sishauriki, ten ukinishauri ndiyo unaharibu kabisa"
Huyu ndiye aliyeanza kumwaga mipesa kwenye mradi uliopitwa na zama wa kuzalisha umeme kwa maji. Mama anaingia madarakani tayari mipesa mingi imefukiwa pale. Anachofanya mama ni kuendelea kuimwaga mipesa ili walau turudishe hata 1 ya 10 ya mipesa iliyomwagwa pale.
Lkn kiukweli kwa mabadiliko ya tabia nchi yaliyoikumba dunia kujenga bwawa ni ushamba, upumbavu na kupoteza fedha. Dunia imehama huko hivi Sasa, ipo kwenye solar energy,, wind energy, geothermal energy, wave energy na nuclear energy.
Mkuu soma kwanza hoja uelewe. Huyo shoga kasema kutokana na teknologia ya sasa hydro imepitwa na wakati ndio nikamuuliza hao waume zake ambao ndio wana teknolojia ya juu sana na bado wanajenga hydro hawajui kama imepitwa na wakati?Hatuongelei wazungu tunaongelea Tanzania. Mazingira ya wazungu ni tofauti na yetu.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Kuna uwezekano mkubwa kwamba either serikali haina wataalamu wa kuishauri au ina wataalamu lakini inapuuza ushauri wao.
Ni ukweli ulio wazi ingawa JPM alifanya jambo zuri sana kuanzisha na kutekeleza mradi huu mkubwa ambao utasaidia sana iwapo hakuta kuwa na upungufu wa mvua.Wote tunajua bwawa hili linatumia maji ya mto/mito kama yalivyo mabwawa mengine tuliyo nayo hapa nchini.
Na kutokana na tatizo la mvua kwenye mabwawa yaliyopo tumekua tukiambiwa uzalishaji umeme umepungua kwasababu mvua zimepungua hivyo tujiandae kwa mgao.
Swali la kujiuliza ni hili..
Kwa uwepo wa mabadiliko ya tabia ya nchi na kutokana na ukweli kwamba bwawa la "stigler gorge" nalo linategemea mito/mvua je siku mvua zikipungua hatutakua na tatizo la mgao wa umeme?
NB: Hapa ninapoandika hii posti TANESCO wamekata umeme na simu ina 8% tu.
Stupidity at its highest level.Tulikuwa na rais kichaa ambaye aliwahi kutamka hadharani kuwa "mmi sishauriki, ten ukinishauri ndiyo unaharibu kabisa"
Huyu ndiye aliyeanza kumwaga mipesa kwenye mradi uliopitwa na zama wa kuzalisha umeme kwa maji. Mama anaingia madarakani tayari mipesa mingi imefukiwa pale. Anachofanya mama ni kuendelea kuimwaga mipesa ili walau turudishe hata 1 ya 10 ya mipesa iliyomwagwa pale.
Lkn kiukweli kwa mabadiliko ya tabia nchi yaliyoikumba dunia kujenga bwawa ni ushamba, upumbavu na kupoteza fedha. Dunia imehama huko hivi Sasa, ipo kwenye solar energy,, wind energy, geothermal energy, wave energy na nuclear energy.
Umejenga hoja kijinga kweli. Hujafikiria kwamba nchi nyingi zinaathiriwa na jiografia. Sayansi gani unayo kichwani kwa kichekesho hiki ulichoandika??Mtu yoyote anayetaja Solar Energy na wind Energy basi anathibitisha uelewa mdogo kwenye masuala ya nishati na sayansi.
Duniani ukizichukua nchi zote unazozijua umeme wa Jua, solar na hizo nishati jadidifu ni 1% tu.
Alaaa! Sasa hapa povu kwasabb nimekosoa akili za kijinga za jiwe ama kwasbb Kikwete aliuza gesi? Halafu mm ktk hoja yangu wala sikumtaja Kikwete. Nimesema Jiwe alikuwa mshamba kushobokea teknolojia iliyopigwa na wakati.Akili huna, kwa hyo Ethiopia kujenga bwawa kubwa kabisa la kuzalisha umeme ni wajinga? Haya huyo kikwete wako alieanzisha mradi wa gesi huko mnazi bei na kutuambia tunanunua gesi kwa bei ya chini na gesi itafanya umeme usikatike yako wapi? Yani Kuna vimtu vinajifanya vigreat thinker rrrr kumbe ni tope. Babako kikte aliuza hadi madini ya uranium, akagawa gesi ya mtwara ambapo kwasasa hatuna say yoyote kule na wala hatusogelei kule, haitoshi akaingia mikataba ya kiwehu hapo bandari ya bagamoyo. Afu leo masikini ww na njaaa zako na elimu yako ya makaratasi unakuja kekekeeeee. John mpinge kwa mengine Ila sio swala la miradi.