Si kila anayetangatanga amepotea njia....................!

Kwa hiyo msije mkadhani mimi kutoonekana maana yake navumilia vitimbi vya chitchat au eti nililewa siku zote hizo. Ama zangu ama zao walioonyesha kwamba eti platozoom anahusika kwenye ulevi wa kiingereza au kumtelekeza kipenzi chake ummu kulthum.
Mamndenyi nimekopi signature yako lakini haimaanishi unidai!

Lazima uzingatie haki milki mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom