Si katika CDM, CCM,CUF, WALA VYAMA VINGINE HAKUNA MWANASIASA MKWELI WOTE NI KWA AJILI YA MATUMBO YAO

matunge

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
442
426
Inasikitisha: Ni umbali wa km kama 2 tu, toka ukumbi wa BUNGE la JMT, ambapo wabunge wa CCM, CDM et al. na mawaziri hukutana, kuna Hospitali ya mkoa wa Dodoma ambapo wanawake wazazi hulala chini, ama wawili katika kitanda kimoja. Lakini sijawahi sikia mwanasiasa yeyote yule kutoka katika vyama tajwa akikataa mpango wa kukopeshwa zile mil 100 kwa ajili ya kununua gari. Miongoni mwa waliopokea fedha hizi ni wale ambao walikuwepo katika Bunge lililotangulia; kimsingi hawa bado wana magari yale ya awali. Pia wanasiasa hawa kila kukicha hujipitishia nyongeza ya malipo ya kila mwezi na posho ya vikao.Ingelikuwa vema kama sehemu ya fedha hizi zikapelekwa katika Hospitali hii, kuokoa maisha ya akina mama na watoto wao katika Hospitali hii.
 
mkuu hao wabunge kweny majimbo yao kuna matatizo zaidi ya hayo uliyoyataja. wakianza kushughulika na matatizo ya jimbo lingine matatizo ya kwenye majimbo yao yatashughulikiwa na nani?
 
Inasikitisha: Ni umbali wa km kama 2 tu, toka ukumbi wa BUNGE la JMT, ambapo wabunge wa CCM, CDM et al. na mawaziri hukutana, kuna Hospitali ya mkoa wa Dodoma ambapo wanawake wazazi hulala chini, ama wawili katika kitanda kimoja. Lakini sijawahi sikia mwanasiasa yeyote yule kutoka katika vyama tajwa akikataa mpango wa kukopeshwa zile mil 100 kwa ajili ya kununua gari. Miongoni mwa waliopokea fedha hizi ni wale ambao walikuwepo katika Bunge lililotangulia; kimsingi hawa bado wana magari yale ya awali. Pia wanasiasa hawa kila kukicha hujipitishia nyongeza ya malipo ya kila mwezi na posho ya vikao.Ingelikuwa vema kama sehemu ya fedha hizi zikapelekwa katika Hospitali hii, kuokoa maisha ya akina mama na watoto wao katika Hospitali hii.

Yaani haya nido mambo ya kuongelea ndani ya hii forum. Nakuunga mkono kwa asilimia mia mbili!! Tanzania hakuna watu wanasiasa wakweli hata kidogo na kama wapo basi ni wachache sana kila mtu anapigania tumbo lake! Vyama vya siasa ni makundi tu ya watu wanaotaka kujishibisha hakuna cha kutetea wanyonge wala nini. Bungeni kunashangaza, inapofika kuhusu masilahi yao basi wote husau tofauti zao na kuwa kitu kimoja na kujinyakulia maslahi manono. Kama mtu unawakilisha watu masikini inakuwaje unaenda kuchukua mijiposho na mijikopo minono minono (ambayo sijui kama hulipwa yote) ilihali hospitalini hakuna madawa wala vitanda. Kama kweli wana uchungu na masikini wa nchi hii watoe sehemu ya posho zao kusaidia huduma za jamii. Hospitali zipo nying zinazosikitisha kaka!
 
Inasikitisha: Ni umbali wa km kama 2 tu, toka ukumbi wa BUNGE la JMT, ambapo wabunge wa CCM, CDM et al. na mawaziri hukutana, kuna Hospitali ya mkoa wa Dodoma ambapo wanawake wazazi hulala chini, ama wawili katika kitanda kimoja. Lakini sijawahi sikia mwanasiasa yeyote yule kutoka katika vyama tajwa akikataa mpango wa kukopeshwa zile mil 100 kwa ajili ya kununua gari. Miongoni mwa waliopokea fedha hizi ni wale ambao walikuwepo katika Bunge lililotangulia; kimsingi hawa bado wana magari yale ya awali. Pia wanasiasa hawa kila kukicha hujipitishia nyongeza ya malipo ya kila mwezi na posho ya vikao.Ingelikuwa vema kama sehemu ya fedha hizi zikapelekwa katika Hospitali hii, kuokoa maisha ya akina mama na watoto wao katika Hospitali hii.

Nakupinga kwa nguvu zote ndugu!!!!!
CHADEMA kupitia Katibu mkuu wake aliwahi kusema Mishahara na marupurupu ya Wabunge ni mikubwa mno!!! Bunge zime lilirindima!!!!
Sera ya CDM kwenye uchaguzi mkuu ni kupunguza marupurupu ya watu wa aina hiyo!! HAWAKUFANIKIWA KUUNDA SERIKALI [ WATANZANIA TULIWAKATALIA KWA KUWAPA CCM VITI VINGI VYA UBUNGE PAMOJA NA URAIS].
Mbunge wa Ilemela katoa sehemu ya fedha yake ili kununua Gari la wagonjwa [hadi sasa limeshaanza kutumika]. Ni mbunge wa chama gani ulishawahi kumsikia au kumuona anafanya hiyo???!!
JAMANI TUACHENI USHABIKI NA TUUKUBALI UKWELI KWAMBA HATA kama CDM wana uchu wa madaraka na njaa, lakini angalua wanaonyesha kutoa mgawo kwetu walala hoi!!

THINK AGAIN ABOUT YOUR ALLEGATIONS!!
 
Naunga mkono hoja!ndo maana unakuta mwanasiasa anahamahama vyama,hana msimamo au sera anayoiamini.
 
Wamekusikia mkuu......................................wapo wengi tu humu JF...
 
Inasikitisha: Ni umbali wa km kama 2 tu, toka ukumbi wa BUNGE la JMT, ambapo wabunge wa CCM, CDM et al. na mawaziri hukutana, kuna Hospitali ya mkoa wa Dodoma ambapo wanawake wazazi hulala chini, ama wawili katika kitanda kimoja. Lakini sijawahi sikia mwanasiasa yeyote yule kutoka katika vyama tajwa akikataa mpango wa kukopeshwa zile mil 100 kwa ajili ya kununua gari. Miongoni mwa waliopokea fedha hizi ni wale ambao walikuwepo katika Bunge lililotangulia; kimsingi hawa bado wana magari yale ya awali. Pia wanasiasa hawa kila kukicha hujipitishia nyongeza ya malipo ya kila mwezi na posho ya vikao.Ingelikuwa vema kama sehemu ya fedha hizi zikapelekwa katika Hospitali hii, kuokoa maisha ya akina mama na watoto wao katika Hospitali hii.

I got you point na fustrations ulizonazo lakini ukae kujua kubadilisha utaratibu au bill yeyote ile lazima vitoke kwa hawa majambazi ccm. Ni kitu cha kusikitisha kwamba serikali inatoa hongo kwa wabunge na wanajeshi nafasi za juu kwa kutumia pesa za wahisani na kodi ya watanzania. Let's no give up hope kwamba wabunge wote hawajali wananchi, wabunge wa cdm wamezungumzia hili swala kwa kirefu na kuonyesha jinsi gani wanakerwa na siasa za hongo za ccm. Ukweli ni kwamba cdm wakikataa hizi pesa zitarudi kwa makinda na kikwete atampa mtoto wake anunue gari jipya. We have to be truthful tunapozungumzia nafasi ya cdm katika bunge na uzembe wa huyu mwanamke makinda.
 
Naunga mkono hoja!ndo maana unakuta mwanasiasa anahamahama vyama,hana msimamo au sera anayoiamini.

Kaka umenena. Hakuna aliyehama na akasema kwamba anahama kwa kuwa hakuridhishwa na sera za chama, wengi wao hawazijui sera za vyama vyao wao kwao ni kupata ubunge tu na kujinufaisha! Ndio maana mimi sipendi chama chochote kwa kuwa ni magenge tu ya wasaka tonge!!! Hakuna ubishi kuwa kuna watu wazuri ndani ya vyama hivyo lakini kwa ujumla wao (chama) ni kundi tu linalosaka tonge kupitia kodi za wavuja jasho. Naamini mimi nitajikomboa mwenyewe toka kwenye mikucha hii ya wasaka tonge.
 
huo ndio ukweli wa mambo. hadi sasa hakuna mwenye nia thabiti ya kuwatetea wanyonge wa nchi sio chadema, wala ccm wote nia yao ya kwanza ni kutaka kuwa popular, kutafuta utajiri na wengine malengo yao kupata vyeo ili wawaonee au walipize kisasi dhidi ya watu fulani. hawa wanaojitia ni wapinzani kwa kweli ni wababaishaji wanchofanya ni kututumia sisi wananchi kufanikisha malengo yao.
 
I got you point na fustrations ulizonazo lakini ukae kujua kubadilisha utaratibu au bill yeyote ile lazima vitoke kwa hawa majambazi ccm. Ni kitu cha kusikitisha kwamba serikali inatoa hongo kwa wabunge na wanajeshi nafasi za juu kwa kutumia pesa za wahisani na kodi ya watanzania. Let's no give up hope kwamba wabunge wote hawajali wananchi, wabunge wa cdm wamezungumzia hili swala kwa kirefu na kuonyesha jinsi gani wanakerwa na siasa za hongo za ccm. Ukweli ni kwamba cdm wakikataa hizi pesa zitarudi kwa makinda na kikwete atampa mtoto wake anunue gari jipya. We have to be truthful tunapozungumzia nafasi ya cdm katika bunge na uzembe wa huyu mwanamke makinda.
wala sina hii kitu yenye rangi nyekundu..............ni maoni tu Mkuu
 
kupinga kwa maneno haisaidi na NI UNAFIKI WA HALI YA JUU, WAO CHADEMA SI CHAMA CHA KUSUSA TUNGEWAONA WA MAANA KUSUSIA HIZO FEDHA NA KUZIELEKEZA ZIPUNGUZWE KWANZA MAJIMBONI KABLA YA KUPOKEA. NDIYO MAAANA WENYE AKILI ZAO WAMESHAONA HAKUNA MWANASIASA MKWELI WOTE WEZI TU "HATUWEZI KUTEMA BIGIJII KWA KARANGA ZA KUONJA" KUITOA CCM NA KUIWEKA CHADEMA,WOTE WASHE................
 
huo ndio ukweli wa mambo. hadi sasa hakuna mwenye nia thabiti ya kuwatetea wanyonge wa nchi sio chadema, wala ccm wote nia yao ya kwanza ni kutaka kuwa popular, kutafuta utajiri na wengine malengo yao kupata vyeo ili wawaonee au walipize kisasi dhidi ya watu fulani. hawa wanaojitia ni wapinzani kwa kweli ni wababaishaji wanchofanya ni kututumia sisi wananchi kufanikisha malengo yao.

Inasikitisha: Ni umbali wa km kama 2 tu, toka ukumbi wa BUNGE la JMT, ambapo wabunge wa CCM, CDM et al. na mawaziri hukutana, kuna Hospitali ya mkoa wa Dodoma ambapo wanawake wazazi hulala chini, ama wawili katika kitanda kimoja. Lakini sijawahi sikia mwanasiasa yeyote yule kutoka katika vyama tajwa akikataa mpango wa kukopeshwa zile mil 100 kwa ajili ya kununua gari. Miongoni mwa waliopokea fedha hizi ni wale ambao walikuwepo katika Bunge lililotangulia; kimsingi hawa bado wana magari yale ya awali. Pia wanasiasa hawa kila kukicha hujipitishia nyongeza ya malipo ya kila mwezi na posho ya vikao.Ingelikuwa vema kama sehemu ya fedha hizi zikapelekwa katika Hospitali hii, kuokoa maisha ya akina mama na watoto wao katika Hospitali hii.

matunge nalkubaliana na wewe ,sema hata hivyo matatizo yote hayawezi kumalizwa na viongozi wetu,lazima na sisi tu play part tunayoiweza
 
Inasikitisha: Ni umbali wa km kama 2 tu, toka ukumbi wa BUNGE la JMT, ambapo wabunge wa CCM, CDM et al. na mawaziri hukutana, kuna Hospitali ya mkoa wa Dodoma ambapo wanawake wazazi hulala chini, ama wawili katika kitanda kimoja. Lakini sijawahi sikia mwanasiasa yeyote yule kutoka katika vyama tajwa akikataa mpango wa kukopeshwa zile mil 100 kwa ajili ya kununua gari. Miongoni mwa waliopokea fedha hizi ni wale ambao walikuwepo katika Bunge lililotangulia; kimsingi hawa bado wana magari yale ya awali. Pia wanasiasa hawa kila kukicha hujipitishia nyongeza ya malipo ya kila mwezi na posho ya vikao.Ingelikuwa vema kama sehemu ya fedha hizi zikapelekwa katika Hospitali hii, kuokoa maisha ya akina mama na watoto wao katika Hospitali hii.

Hilo halina ubishi.Jamaa wapo kwa maslahi binafsi! Hapa unani kumbusha mbali sana,pale nilipo kuwa mwanasiasa muaminifu,mpenda amani,maendeleo na mabadiliko ya kidemokrasia ktk nchi yangu kwa Miaka 19 hadi kufikia mwaka 2010.Niliyojifunza ndani ya vyama hivi ni mengi.Kubwa kuliko yote WANAFANANA MALENGO YAO HAKUNA WA AFADHALI.MKUNJO KWANZA, MENGINE BAADAE
 
Nakupinga kwa nguvu zote ndugu!!!!!
CHADEMA kupitia Katibu mkuu wake aliwahi kusema Mishahara na marupurupu ya Wabunge ni mikubwa mno!!! Bunge zime lilirindima!!!!
Sera ya CDM kwenye uchaguzi mkuu ni kupunguza marupurupu ya watu wa aina hiyo!! HAWAKUFANIKIWA KUUNDA SERIKALI [ WATANZANIA TULIWAKATALIA KWA KUWAPA CCM VITI VINGI VYA UBUNGE PAMOJA NA URAIS].
Mbunge wa Ilemela katoa sehemu ya fedha yake ili kununua Gari la wagonjwa [hadi sasa limeshaanza kutumika]. Ni mbunge wa chama gani ulishawahi kumsikia au kumuona anafanya hiyo???!!
JAMANI TUACHENI USHABIKI NA TUUKUBALI UKWELI KWAMBA HATA kama CDM wana uchu wa madaraka na njaa, lakini angalua wanaonyesha kutoa mgawo kwetu walala hoi!!

THINK AGAIN ABOUT YOUR ALLEGATIONS!!

Kauli kama hizo nizakawaida ktk Propaganda. Mbona HAWAACHI KUPOKEA
 
Back
Top Bottom