He he he...wewe ni chiboko!.hili jiwe lipo wapi kiongozi tuliopoteza ndoa tukafanye ibada hapo.
Jiwe hilo jamani jiweee. Hilo linafaa kwa utalii wa ndani na wa nje hasa mabachela tu.
Nyabhingi balaa wewe!!! Kitu gani hicho? Khaa
Jiwe hilo jamani jiweee. Hilo linafaa kwa utalii wa ndani na wa nje hasa mabachela tu.