Shule za boarding kufutwa kuanzia januari mwakani

paesulta

JF-Expert Member
Mar 13, 2009
227
29
Kuna mdau katuma kupitia maoni katika blog ya Mjengwa (under; E bwana,tutakula wapi pasaka?) kuwa serikali ina mpango kuanzia mwakani kufuta kimyakimya shule za boarding(na hii inafanyika bila kupata maoni ya wadau wa elimu),na amesite gazeti la The Citizen la jumapili kama reference.nimeangalia kupitia mtandao sijaona habari hii,alie na nyeti yeyote atupatie...
 
Kama umeshindwa kupata uhakika kwenye The Citizen iweje humu JF, unless useme watu walifanyie kazi. Mkuu heshima mbele.
 
Wakuu naomba kama kuna mwenye taarifa hizo amwage hapa. Maana kama serikali imeamua kufisadika kiasi hiki basi naona shimo kubwa liko mbele linainyemelea elimu ya watoto wa Kitanzania.
 
Kama umeshindwa kupata uhakika kwenye The Citizen iweje humu JF, unless useme watu walifanyie kazi. Mkuu heshima mbele.

Naamini kuwa inaweza isiwe imetolewa katika The Citizen la mtandaoni,labda ipo kwenye The Citizen la mitaani,hivyo kwa aliyeweza kuliona na atupe nyeti.si kila habari za bongo zinapatikana mtandaoni,hasa katika site za magazeti yetu...
 
Wakuu naomba kama kuna mwenye taarifa hizo amwage hapa. Maana kama serikali imeamua kufisadika kiasi hiki basi naona shimo kubwa liko mbele linainyemelea elimu ya watoto wa Kitanzania.

...mbona ni habari ya kitaaambo... someni; Abolishing boarding schools at our own peril

Abolishing boarding schools at our own peril

2009-02-09 10:21:19
By Issa Mcholo Omari

The abolition of boarding O`level Secondary Schools will exacerbate quality deterioration, increase Inequities, and compromise our regional competitiveness.

It has transpired, with evidence, that from 2009, regions have been instructed to select and allocate deserving students only to day secondary schools, predominantly community and ward secondary schools.

No schools with Form V and VI will receive Form One entrants anymore.

Exceptions are made for the five so called special schools, about 8 technical schools, and 15 designated zonal secondary schools which enroll students with various disabilities such as visual and hearing impairments.
...
 
Ah! Kama umemaanisha hii aliyoweka mkuu Mbu basi ni ya ya kitambo sana Mkuu paesulta kama ndio ulimaanisha hii
 
hivi huyo aliyetoa hilo wazo la kufuta boarding ni nani labda boarding za mjini za uko mkoani moshi au Arusha na sehemu zingine nani atasoma hayo mabweni watayafanyia nini? labda serikali ifute kwa shule zake tu lakini za binafsi hapana hata ukiangalia shule nyingi zinazofanya vizuri ni za boarding day watoto hawasomi, usafiri wa shida mpaka afike nyumbani usiku hawezi kujisomea amechoka ile mbaya, familia nyingine nyumba hazina umeme huko vijijini mtoto atasoma na kibatari atafaulu kweli huyu aliyetoa hilo wazo hana akili au anaota.
 
maamuzi mengi kuhusu elimu yanafanywa bila tafakari. Nadhani watanzania tuanze kuuliza maswali, kwanza kwanini wazazi wengi wanataka bweni hata wale wenye uwezo wa kifedha? hata wale wenye kuweza kuwapa watoto wao usafiri? wapo wazazi wanaotaka bweni ili kukwepa wajibu wa kulea, nimeona familia za middle class zikipeleka watoto wadogo tu bweni south africa, uganda, nk, bila kujali au kujua hali ya mazingira. Lakini kuna wale ambao, wanahitaji bweni kwa vile hali ya nyumbani hairuhusu mtoto na hususani wa kike kusoma kwa amani. Hata hivyo uendeshaji wa bweni ni gharama kubwa, ili bweni itoe mazingira mazuri, na sio jela ya watoto, igharamiwe, na nani? ruth meena.
 
Duh tunarudi kule kule kwa kina JJ unachanganya Physics na Chemestry zinakuwa somo moja.........kuna watu iwa wanakurupuka tu kufanya maamuzi.
 
Kuna mdau katuma kupitia maoni katika blog ya Mjengwa (under; E bwana,tutakula wapi pasaka?) kuwa serikali ina mpango kuanzia mwakani kufuta kimyakimya shule za boarding(na hii inafanyika bila kupata maoni ya wadau wa elimu),na amesite gazeti la The Citizen la jumapili kama reference.nimeangalia kupitia mtandao sijaona habari hii,alie na nyeti yeyote atupatie...

Mkuu, habari yenyewe hii hapa:

Concern over removal of boarding for O-Levels

By Mkinga Mkinga

In a major shift in the national education policy, the Government plans to phase out the boarding units in the Ordinary Level section in the public secondary schools.

In a circular issued last December, the ministry of Education and Vocational Training directed that from January, no Form One students should be enrolled as boarders on the Mainland.

Signed by the acting Director of Education, Mr L.P.R Musaroche, the circular asked Regional Executive Directors to distribute among day secondary schools in the wards nearest to their homes the students selected to join boarding schools.

This means that pupils will no longer leave their home areas to study in well-established schools elsewhere, as has been the trend for years.

"The ministry of Education and Vocational Training has decided that only Form Five and Six schools will remain for boarders from the year 2009," reads part of the circular, No. SYCB/193/339/01/163.

However, according to the circular, students with disabilities and other special learning needs, will still be accommodated in boarding schools to be identified in several educational zones.

A survey by the Sunday Citizen confirmed that most schools have complied with the directive, which appears to have caught many stakeholders, including the teachers? union by surprise.

But the ministry's decision has alarmed some education experts, with Prof Issa Mcholo Omari, of the University of Dar es Salaam, warning that it could do more harm than good to the country?s quest for quality gender balanced education.

Tanzania Teachers Union president Gratian Mukoba also criticised the decision, taking issue with the timing.

An Assistant Director of Education, Dr Nesta Sekwao, confirmed the planned shift and explained to the Sunday Citizen some of the reasons why the Government had decided to abolish boarding schools.

She said congestion in many of the schools and lack of adequate food for the students had necessitated the changes.

But other reports felt the Government intended to use the capacity to be freed to admit more Form Five and Six students and meet the rising demand.

Feeding students in public boarding schools, Dr Sekwao said, had proved difficult and costly. Schools often run out of food supplies. The official also said most of them were overburdened with enrolment.

"The Government has decided to maintain the number that it can adequately cater for," she said.

Only seven "special schools" would be allowed to continue admitting boarders from across the country. These are Tabora Boys, Tabora Girls, Kilakala and Mzumbe (both in Morogoro), Kibaha (Coast region), Msalato in Dodoma and Ilboru in Arusha.

Also exempted, Dr Sekwao added, are 15 designated zonal secondary schools. They will also enrol students with disabilities.

The abolition of the boarding units, she said, would not affect students in currently in Form Two to Four, as they would continue with their O-Level studies.

But conceding that the move would disadvantage girls, Dr Sekwao said it was a challenge to parents and guardians to provide them with a conducive learning environment.

"Parents should allow those young school girls to learn in nearby schools and not burden them with family chores," she appealed.

The seven special schools would continue to admit bright students from several regions to socialise and learn together to help preserve Tanzanian nationalism.

There are 2,806 government secondary schools. Last year, 433,260 pupils passed their Standard Seven examinations and were expected to join the schools. There were 244,800 boys and 188,460 girls.

But Prof Omari, an expert in educational psychology and research, said the abolition of boarding O-Level secondary Schools would "exacerbate quality deterioration, increase inequities, and compromise regional competitiveness".

He wondered why the policy shift had been quietly implemented. He said the reasons given by the ministry "were either not true or not strategic enough".

He wrote in a recent commentary: "It is an attitudinal thing which is quite pervasive for quite some time now. Our priorities are just skewed."

The expert added: "It does not seem that the national political elite is aware of the fact that, for now, the educational system is suffering from a serious paralysis of stagnation and any policy shifts should be for resuscitation rather than exacerbation of the deterioration of the situation."

Prof Omari warned about the consequences of that decision. He said boarding government schools outperformed all other categories of schools, except a few Christian seminaries.

"The abolition of boarding schools is likely to negatively affect the quality of schooling, which will have serious reverberating effects in the country," he said.

The university don said the children of the poor in community schools would now be doomed to perpetual failure as boarding schools "facilitated cross breeding, and a window of opportunity for the poor to benefit from quality education".

Said Prof Omari: "There is a dangerous but tacit inclination in Tanzania, to think that the private sector will bail out the State in the provision of education. This is a dream.?

He urged the Government to reconsider the decision and look for more resources to fund the education sector.

TTU president Mukoba said all stakeholders had not blessed the policy shift.

"Instead of abolishing boarding schools, the Government should have consulted everybody first for discussions on the best way forward," he said.

Mr Mukoba said girls would be more adversely affected, "as studies have shown that those outside boarding facilities have failed to complete learning due to early pregnancies".

He added: "The Government may be trying to reduce costs without weighing the impact of the outcome, particularly at this time when there should be special care to empower women."
 
Kuna shule zingine mazingira yake ni special kwa boarding tu hayaruhusu day na hazikujengwa kwa ajili hiyo eg. Marian Girls, st. Fransic, Kibosho girls wataendaje day
 
hizi bajeti za elimu huwa zinakwenda wapi?
mtoto anatoka kijijini anapasi kwenda mtwara lakini anatakiwa akae nje ya shule nani atalipia mzazi ambae anategemea jembe la mkono kulimia?
kweli huyu mtoto atasoma ?pesa ya chakula,kodi ya hostel?na maisha ya hosteli huru?
au ni program ya kunufaisha walionacho ?kwa kuanzisha miradi ya kujenga hostel za kulipia?
tunakoelekea ni GIZA
 
Hawa wahesimiwa tuliowachagua kutuongoza hawana lolote jipya (sio wabunifu) zaidi ya kuharibu au kuvuruga yale yaliyofaywa na waliowatangulia!
 
Back
Top Bottom