Shukrani

Cassava

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
282
36
Naomba nitoe pongei zangu za dhati kwenu moderators kwa kuweka huu muonekano wa font zinazoenea kwenye computer, awali muliweka font kubwa zilizokuwa zinasumbua, tukitaka kusoma ujumbe hadi una- scroll kulia na kushoto.


Naomba msibadilishe huu muonekano wa sasa na font hii mliyoichagua.

Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom