Dee_Aristotle
Member
- May 29, 2021
- 54
- 30
Habari zenu wanajamii
Ninauleta uzi huu nikitoa shukrani zangu za dhati kuishukuru forum hii kwani mwaka jana mwezi wa tano nilisumbuliwa sana na vipele kama rashes flani hivi
Nilitumia dawa mbalimbali ila si zote ila kupitia forum hii nilipata dawa humu humu na asubuhi yake nikaenda kununua nikaanza dose.
Though nina bima ila nilikubali kuingia mfukoni na kununia hiyo dawa kwa mwaka jana iliuzwa 10k.
Nilitumia dozi na matokeo mazuri nimeyapata hadi leo havikirudi tena.
Mbarikiwe sana wanajamii, naiheshimu sana jamiiforums.
Ninauleta uzi huu nikitoa shukrani zangu za dhati kuishukuru forum hii kwani mwaka jana mwezi wa tano nilisumbuliwa sana na vipele kama rashes flani hivi
Nilitumia dawa mbalimbali ila si zote ila kupitia forum hii nilipata dawa humu humu na asubuhi yake nikaenda kununua nikaanza dose.
Though nina bima ila nilikubali kuingia mfukoni na kununia hiyo dawa kwa mwaka jana iliuzwa 10k.
Nilitumia dozi na matokeo mazuri nimeyapata hadi leo havikirudi tena.
Mbarikiwe sana wanajamii, naiheshimu sana jamiiforums.