engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Katika taarifa ya habari ya usiku wa leo 06/10/2012 saa mbili,CCTV NEWS imetumia zaidi ya dakika 10 kwa kuutangaza mlima kilimanjaro
shukrani kwa watangazaji wa CCTV bwana ERICK NJOKA aliyeweza kuwepo mlima kilimanjaro na kuutangaza bila hata kuweka chumvi ingawaje yeye ni mkenya
shukrani kwa watangazaji wa CCTV bwana ERICK NJOKA aliyeweza kuwepo mlima kilimanjaro na kuutangaza bila hata kuweka chumvi ingawaje yeye ni mkenya