Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Naomba kujuzwa maana ya shujaa katika jamii yetu?maana kuna anayefanya mema anaitwa shujaa kuna anayefanya mabaya naye huitwa shujaa mifano ipo ya pande zote je kama Gadafi ni shujaa na Mobutu ni shujaa? Vipi mandela, Osama sadam ,samwel Do, san Abacha ,mugabe,G. bush,Hugo chavez,DALAI LAMA..mkwawa na wengine hii maana ya ushujaa imekaaje kwao?