You wil be an idiot to do that, especially by needing no evidence as you have said above.Really idiot.
Mimi naitwa theROOM, mwananchi wa kawaida nisie mfuasi wa chama chochote.
ZZK haaminiki na hatokuja kuaminikana hatakiwi kuaminika...its simple.
Look at his moves, his health,his words..its full of contradictions...ukimwangalia ZZK ana stress kama alivo EL. hii ni kwa sababu he has too many agendas..mara urais mara lecturer mara ninii...yaani this guy is overloaded and very selfish..
BUT,He knows what he is doing n he knows it well deep down his heart. And he knows it is EVIL..he knows it well..ZZK has no peace,he is extremely careful to every move he makes...
Lkn kuna kitu kimoja viongozi wengi wa nchi hii hawajajua..Watz wengi ni waelewa sana.Sio wale wa miaka ile....wanao uwezo wa kukupima na kukukataa upright....
ZZK HAPASWI KUAMINIWA TENA...
Kama alimpigia JK kampeni,basi hata kwenye hiyo m4c hawezi kwenda,kwasababu,principaly,he doesn't believe in changes.Mtu aliyemkampenia JK mnamwita eti mpinzani?kamanda wa mabadiliko?gimme a break on this!huo ni utofauti wa kimsingi kabisa,it is a fundemental issue!halafu hilo linaonekana ni la kawaida,ama pia linafumbiwa macho...bongo kuna vituko sana,there is a big and a serious problem somewhere that chadema needs to fix it.
Tamaa za madaraka mbaya sana,mtu akitaka kupanda juu hajali ni kitu gani anakanyagia chini kwenye process,almuradi matamanio yake yamefanikiwa.
Tanzania inaongoza kwa uchawi na imani za kishirikina dada.
Kamanda,
For a civilized person once you are involved in anything contradicts or brings confusions to your group, you have to go. We are talking about persnal responsibility. We don't need physical evidence for this. HIS TIME IS UP. Either you like it or not-
Nakubali mkuu,JK na ccm wanalaumiwa kwa udhaifu wa kutokufanya maamuzi magumu,naona sasa chadema is doing the same.Kuna haja ya kukusanya fact zote za hujuma alizofanya zitto kwa cdm na kuzileta kwenye mahakama ya nguvu ya umma kwanza tuzijadili kisha tumhukumu yeye na kundi lake...baada ya hapo Chama kimtimue kwa mujibu wa taratibu zilizoko! Vijana wa Kiislamu wenye uzalendo wa kweli tuko wengi cdm! hatuwezi kuvumilia upumbavu huu wa kutugawa kwa misingi ya Ukanda, udini, ukabila ilihali Tanzania yetu inaendelea kuwa shamba la bibi...enough!!!
Kama alimpigia JK kampeni,basi hata kwenye hiyo m4c hawezi kwenda,kwasababu,principaly,he doesn't believe in changes.Mtu aliyemkampenia JK mnamwita eti mpinzani?kamanda wa mabadiliko?gimme a break on this!huo ni utofauti wa kimsingi kabisa,it is a fundemental issue!halafu hilo linaonekana ni la kawaida,ama pia linafumbiwa macho...bongo kuna vituko sana,there is a big and a serious problem somewhere that chadema needs to fix it.
Tamaa za madaraka mbaya sana,mtu akitaka kupanda juu hajali ni kitu gani anakanyagia chini kwenye process,almuradi matamanio yake yamefanikiwa.
Hii thread niliianzisha wakati hatujui yaliyokuwa yakiendelea kiundani kuhusiana na masalia na uadui uliopo,imagine kama ningeianzisha wakati tayari nina taarifa zote ambazo zimebandikwa hapa kwa hizi siku mbili tatu zilizopita.ACHENI MAWAZO FINYU!,
CHAMA KUBWA KM CDM HAWAWEZI KUWEKA KIKAO KUJADILI UJINGA,UZUSHI NA MANENO YA MTAANI,
CDM INAENDESHWA NA WENYE BUSARA PAMOJA NA SHERIA,
MWANAJESHI HAWEZ TETEREKA KWA KELELE ZA NDEGE PORINI ILI HUWA ANAKUA TAYARI NA KUSOMA ISHARA.
Jogoo hafi kwa UTITIRI