Shoga maarufu mjini Dar apania kumpokonya Jux kutoka kwa Vanessa Mdee

Nasikiaga eti hata yule jamaa msanii wa "bonge mavi" yule anayekunywa sana water
Eti naye wanamtafuna?!
 
Nasikiaga eti hata yule jamaa msanii wa "bonge mavi" yule anayekunywa sana water
Eti naye wanamtafuna?!
1465843389230.jpg
 
Inaumiza sana, especially kwa wazazi na ndugu wa wahusika.

Ni kwamba, wanakua sio wao tena, fahamu zao zinakua zimeshabadilishwa, (haina tofauti na wanao geuzwa kuwa machizi)

Hivyo, hata umpige, umtukane, umtese., haisaidii. Kwakua sio yeye bali kunakua na nguvu chafu nyuma yake inayokuwa inamsukuma kufanya hivyo.


Njia ni moja tu, ambayo ni 'Deliverance' In Jesus'Christ Name

they need to be delivered from that evil spirit ya ushoga.
 
hawa walizaliwa na tatizo sidhani kama ni kujifunza peke yake. hapo tu anafanana zaidi na msichana. Mungu atuokoe na janga hili!
 
Naona ndugu zake wanamchukulia poa, majuzi aliweka kideo akiwa dada yake ni full wakitoa maulimi inje na kujirembulisha
 
ndio mm pia nimegumiana nae maeneo ya morocco pale duuh mungu wangu viumbe wengine wasamehe tyuu
Kumbe ulikaona jana hapo Morocco basi tulikuwa wote...... Yani hakajitambui kabisa,, maskini kamebeba kamfuko kake ka oriflame....
 
Sasa hivi hawa vijana wadogo kabisa hawaogopi kitu wenyewe wanafanya huu ujinga wanaona sawa tu sijui kwasababu ya utandawazi na hata ukisema uwashauri hawa kuelewi zaidi utaambulia matusi mazito sasa ni bora kuwaangalia tu Jana nimepita kwenye page mojo huko IG nimekutana na picha ya kijana Mdogo wa kiume kaanza kupiga picha akiwa mtupu na kuzipost watu wazione kwa kweli inashangaza sana
ac5c778b73805c998024b0398a62fb1a.jpg
huyo kijana Mdogo amepiga picha hivyo na kuipost na hata ukienda kwenye page yake unakutana na picha zenye mapozi tata
I know this boy, yaani ni maskitiko. Namjua toka akiwa mtoto mdogo wa miaka mitano. Inastua sana hii hali
 
I know this boy, yaani ni maskitiko. Namjua toka akiwa mtoto mdogo wa miaka mitano. Inastua sana hii hali
Bado kijana mdogo sana harafu amejiingiza kwenye tabia mbaya vile vile kakosa haibu anapiga picha chafu na kuziweka mtandaoni nimeona watu wakikomenti kumshauri kuhusihana na mambo hayo ya ushoga lakin hasikii badala yake yeye anazidi kupost mapicha ya kijinga
c8641932a666a4cf2347fb8364aafed8.jpg
 
Muwe mnatuwekea na number zao za simu bhana! Dada zetu wanaenekeza sana hela mbele kijinga halafu unaenda kukutana na bwawa sasa hvi tumehamia huku kwa speed ya mwendo kasi!!
 
Back
Top Bottom