shilole apata aibu mtandaoni

wanapenda kithungu waonekane wasomi
Niubwege tu wa baadhi ya watu kuongea/kuandika kiingereza sio usomi kwasababu hii nayo ni lugha kama zilivyo lugha nyingine sema tu imepewa promo zaidi,hebu waache kuleta aibu waandike tu kiswahili aaagrrrrrrr
 
atawezaje kushiriki na JLO kama the the nyingi hivyoo??
Siku ile nilivyomsikiliza akiwa anahojiwa na zamarad kuhusu hiyo nikaona hapa hakuna cha kolabo, huyu dada anatuwakilisha hasa watu kutoka uswazi maana bado anatabia za kiswazi na pengine hazitamtoka
 
The ugly truth ni kwamba wengi wa wasanii wetu hawakupita shule ndio tatizo kuu. I could list here list ya wasanii wa nje, mostly ni college/university graduates wenye magamba yao!
 
The ugly truth ni kwamba wengi wa wasanii wetu hawakupita shule ndio tatizo kuu. I could list here list ya wasanii wa nje, mostly ni college/university graduates wenye magamba yao!

ndo mana wana akili hawafanyi mambo ya kijinga kama hawa maimuna wetu
 
Siku ile nilivyomsikiliza akiwa anahojiwa na zamarad kuhusu hiyo nikaona hapa hakuna cha kolabo, huyu dada anatuwakilisha hasa watu kutoka uswazi maana bado anatabia za kiswazi na pengine hazitamtoka

hv kaishia darasa la ngapi huyo kiumbe?
 
Niubwege tu wa baadhi ya watu kuongea/kuandika kiingereza sio usomi kwasababu hii nayo ni lugha kama zilivyo lugha nyingine sema tu imepewa promo zaidi,hebu waache kuleta aibu waandike tu kiswahili aaagrrrrrrr

naona ina sound mkuu hukumbuki kuna cku mkulu nae aliteleza akasema manufacturing teachers lol
 
Teh teh.!ki english kinapendwa na wasanii wetu lkn chenyewe hakiwapendi..ni kujikubali tu hujui wakati Unaendelea kujifunza taratibu..
 
Kama tutachekana hivyo hatufiki mbali nafikiri wanaomcheka sana ni wale wale kama yeye.mbona hata wazungu wenyewe sio wanaojua kiingereza fasaha lakini sidhani kama mngewakebehi
 
Kama tutachekana hivyo hatufiki mbali nafikiri wanaomcheka sana ni wale wale kama yeye.mbona hata wazungu wenyewe sio wanaojua kiingereza fasaha lakini sidhani kama mngewakebehi

vipi kuhusu watu wanaokosea kiswahili huwa unawakosoa?
 
Wasanii wetu wanakera sana,hasa wadada kila maneno mawili kingereza katkat na hali hawajui kiingereza,ulimbukeni unawasumbua.....
 
Sipendi mtu kujifanya anatumia kiingereza wakati anaongea na waswahili wenzake!, lkn je, hata wazungu wakikosea kiswahili huwa tunaona waajabu???
 
Ulimbukeni, wajiri hata watu waluwa wana control akount zao walooenda shule, maana wasanii wetu wengi ni BIG RESULTS NOW!
 
Kuna siku alikuwa anahojiwa nadhani na Crispin wa Clouds FM aelezee elimu yake, akajizungusha we na kupotezea kibao eti 'we jua tu kuwa mimi nimesoma....'

Halafu mtu huyo huyo anakuwa na ndoto za kuwa intl artist...poor Shilole.
 
jamani mbavu zng, ss hiyo kolabo na j.lo itakuwaje na tn imeishia wp? hawa wasanii wetu shida tupo na tatizo wengi wao wamekimbia shule ndio maana wanafanya mambo ya sio na msingi na kwa staili hii ya kushow off hawatakaa waendelee. darasa muhimu jamani.
 
vipi kuhusu watu wanaokosea kiswahili huwa unawakosoa?

Sikufikiria hili ila nadhani point yako ina mashiko.....tusiponde tu kwakuwa tunataka kuponda....tumsaidie sababu wasiojua kiswahili tunawasaidia pia......
 
Back
Top Bottom