bysange
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 4,456
- 1,563
Niubwege tu wa baadhi ya watu kuongea/kuandika kiingereza sio usomi kwasababu hii nayo ni lugha kama zilivyo lugha nyingine sema tu imepewa promo zaidi,hebu waache kuleta aibu waandike tu kiswahili aaagrrrrrrrwanapenda kithungu waonekane wasomi