Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,921
- 15,613
Iran imeandika historia mpya Ulimwenguni kwa kufanya shambulizi la kipekee ambalo halijawahi kushuhudiwa toka dunia iumbwe.
Shambulizi lile litaendelea kutumika ktk mafunzo ya vyuo vya kijeshi vya nchi za Ulimwengu wa kwanza.
Kwa hakika safari hii Iran imetoa salamu za kipekee si kwa Israel tu bali kwa Marekani, Uingereza, Ufaransa na vifaranga vyao vyotee.
Salamu hizo zimezifika vema nchi zote za mashariki ya kati ambazo kamwe hakuna atakaejaribu kufanya ujinga wowote (kutoa anga au ardhi kwa adui) wa kuomba kupelekewa bando la moto wa droni na makombora 300 kwa mpigo.
Pamoja na mkwara mzito wa Biden kuwa Iran akiishambulia Israel, Biden nae atajibu mashambulizi...lakini wanaume wametimiza ahadi ya kushambulia tena shambulio la kihistoria ambalo halijawahi shuhudiwa popote kwenye Ulimwengu huu. Biden kausoma mchezo, kamkanya kijana wake BN kuwa asijibu chochote, kama haikutosha nae Biden katia mpira kwapani!
Btw: Usitegemee kusikia tena Israel karusha jiwe kwenye ardhi (ubalozi) ya Muajemi...hata kwa bahati mbaya
Shambulizi lile litaendelea kutumika ktk mafunzo ya vyuo vya kijeshi vya nchi za Ulimwengu wa kwanza.
Kwa hakika safari hii Iran imetoa salamu za kipekee si kwa Israel tu bali kwa Marekani, Uingereza, Ufaransa na vifaranga vyao vyotee.
Salamu hizo zimezifika vema nchi zote za mashariki ya kati ambazo kamwe hakuna atakaejaribu kufanya ujinga wowote (kutoa anga au ardhi kwa adui) wa kuomba kupelekewa bando la moto wa droni na makombora 300 kwa mpigo.
Pamoja na mkwara mzito wa Biden kuwa Iran akiishambulia Israel, Biden nae atajibu mashambulizi...lakini wanaume wametimiza ahadi ya kushambulia tena shambulio la kihistoria ambalo halijawahi shuhudiwa popote kwenye Ulimwengu huu. Biden kausoma mchezo, kamkanya kijana wake BN kuwa asijibu chochote, kama haikutosha nae Biden katia mpira kwapani!
Btw: Usitegemee kusikia tena Israel karusha jiwe kwenye ardhi (ubalozi) ya Muajemi...hata kwa bahati mbaya