Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,732
- 21,131
#AONDOKE SALAMA SALIMiNI SAFARI NJEMA NDG SHIBUDA UENDE MOJA KWA MOJA MPK AKHERASource Jambo CCM aka Jambo Leo
Mbunge wa Maswa Magharibi kupitia CHADEMA bwana John Shibuda kadai kachoka chama chake cha CHADEMA kwa kuwa viongozi wa juu wa chama hicho wamekuwa wanamsema kila mara na hana raha ndani ya chama.
Kwa mawazo yangu angerudi tu CCM mda huu sio kusubiri mpaka mwaka 2015 mwezi wa nanee