Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Leo nimefuatilia Bunge japo Kidogo kile Kipindi cha Jioni, Nimesikia Michango ya Wabunge wawili John Shibuda ( CHADEMA) John Cheyo ( UDP). Kile Nilichokiona leo katika Nyuso za Wabunge hawa nilikiona Kwenye Sura ya Pius Msekwa Siku ile ya Mjadala wa Tanzania Tuipendayo.
Sura ya Mshangao na Inayoonesha kwamba hawa Wazee wanafikiri wanadeal na UVCCM au vijana wa Zamani ambao wengi hawakuwa na Exposure kubwa sana ambao walilelewa katika misingi kwamba Mkubwa Akikosea basi Hakosolewi.
Wanashindwa kuelewa kwamba Ndani ya Bunge Kinachoangaliwa Siyo Umri ndiyo maana hata hao wabunge vijana waliwashinda Wazee na kuingia Bungeni. Wanashindwa Kuelewa kwamba Pinda anapokuwa Bungeni hana Cheo cha Baba, Mjomba wa Kaka wala babu, yeye ni Waziri Mkuu ambaye anabeba matumaini ya Watanzania wengi.
Hawa wazee wanataka kumeintai 'Status Quo" wanashindwa kuelewa kwamba Tanzania ya Leo kamwe haiwezi kuwa ya jana hata kwa kutoa Kauli za Vitisho
Napenda kuwashauri hawa Wazee kwamba Maadam ni Wabunge, ni Mawaziri basi wategemee Kauli za Kebehi, Kejeli nk na nawashauri wasijaribu kwa Vitisho vya Uzofu kuwatisha Vijana na Wasipokuwa Makini hawa Vijana wanaowatisha watasababisha wao wang'oke kwa sababu wapiga kura Wengi ni Vijana
Ningependa niwaambie kwamba Kama Hamjajiandaa na Bunge lenye Wanaharakati ni Bora Mjondoe Mapema Maana Miaka Mitao ni Mingi sana Msipokuwa makini Mtakufa kwa Pressure.
Sura ya Mshangao na Inayoonesha kwamba hawa Wazee wanafikiri wanadeal na UVCCM au vijana wa Zamani ambao wengi hawakuwa na Exposure kubwa sana ambao walilelewa katika misingi kwamba Mkubwa Akikosea basi Hakosolewi.
Wanashindwa kuelewa kwamba Ndani ya Bunge Kinachoangaliwa Siyo Umri ndiyo maana hata hao wabunge vijana waliwashinda Wazee na kuingia Bungeni. Wanashindwa Kuelewa kwamba Pinda anapokuwa Bungeni hana Cheo cha Baba, Mjomba wa Kaka wala babu, yeye ni Waziri Mkuu ambaye anabeba matumaini ya Watanzania wengi.
Hawa wazee wanataka kumeintai 'Status Quo" wanashindwa kuelewa kwamba Tanzania ya Leo kamwe haiwezi kuwa ya jana hata kwa kutoa Kauli za Vitisho
Napenda kuwashauri hawa Wazee kwamba Maadam ni Wabunge, ni Mawaziri basi wategemee Kauli za Kebehi, Kejeli nk na nawashauri wasijaribu kwa Vitisho vya Uzofu kuwatisha Vijana na Wasipokuwa Makini hawa Vijana wanaowatisha watasababisha wao wang'oke kwa sababu wapiga kura Wengi ni Vijana
Ningependa niwaambie kwamba Kama Hamjajiandaa na Bunge lenye Wanaharakati ni Bora Mjondoe Mapema Maana Miaka Mitao ni Mingi sana Msipokuwa makini Mtakufa kwa Pressure.