sas kama tukiwapeleka kwa kova! kidogo unamuona anadundika mtaani! huku anakupa na mikwara juu! si bora tumalize kazi tu tujue moja! police hawaaminikia ajuizi!
Mimi nina hasira nao sana kuna mmoja namwinda huwa anakaa mtaa wa mrogogoro kwenye junction ya kwenda regency hospital. Alinikwanyulia side mirror wakati najiandaa kuingia morogoro road kutokea regency. Kibaya zaidi huyu teja ni mnyarwanda anaitwa Andakize nimeshamfuatilia sana huwa napishana nae ila ipo siku nitamtia mikonononi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.