wana jamii habari za leo?
kuna ndugu mmoja alioa miaka 7 iliyopita kwa ndoa ya kanisaniakaishi na mkewe kwa kipindi cha miaka minne.baada ya hapo kukaanza matatizo katika ndoa hiyo ambayo alipelekea ugomvi wa kawaida kati ya wana ndoa wakafikia hatua wakapigana siku hiyo. binti akaamua aende kwao wazazi wakamshauri ampeleke mumewe polisi huku nyuma yule binti baada ya kumpeleka mumewe polisi akarejea nyumbani na kubeba kula kitu ndani ya nyumba na kuacha nyeupe akaacha ujumbe kuwa kuazia leo kila mtu aishi kwake na mimi ninarudi kwetu. wazazi wa binti hawakuchukua hatua yoyote juu ya ujio wa binti yao wa miaka miwili walikaa kimya mume nae akaishi muda wote akisubiri pengine wazazi wangeweza kuchukua hatua ya kuita watoto wale na kushauri kilichotokea hakukuwa na hatua yoyote miaka miwili ilipopita yule mume akaamua kufunga ndoa na mwanamke mwingine miezi michache baadae wazazi wale pamoja na binti wakamtafuta yule mume kutaka suluhu na pengine kumpa talaka mke wa kwanza. kumtaka mume awajibike na malezi ya watoto na matumizi ya mke wa kwanza ambaye bado anaishi kwa wazazi wake. je sheria inasemaje kwenye hili tujaribu kumshauri ndugu yetu huyu? katika kipindi chote hiki mume alikuwa haruhusiwi hata kuona watoto.
kuna ndugu mmoja alioa miaka 7 iliyopita kwa ndoa ya kanisaniakaishi na mkewe kwa kipindi cha miaka minne.baada ya hapo kukaanza matatizo katika ndoa hiyo ambayo alipelekea ugomvi wa kawaida kati ya wana ndoa wakafikia hatua wakapigana siku hiyo. binti akaamua aende kwao wazazi wakamshauri ampeleke mumewe polisi huku nyuma yule binti baada ya kumpeleka mumewe polisi akarejea nyumbani na kubeba kula kitu ndani ya nyumba na kuacha nyeupe akaacha ujumbe kuwa kuazia leo kila mtu aishi kwake na mimi ninarudi kwetu. wazazi wa binti hawakuchukua hatua yoyote juu ya ujio wa binti yao wa miaka miwili walikaa kimya mume nae akaishi muda wote akisubiri pengine wazazi wangeweza kuchukua hatua ya kuita watoto wale na kushauri kilichotokea hakukuwa na hatua yoyote miaka miwili ilipopita yule mume akaamua kufunga ndoa na mwanamke mwingine miezi michache baadae wazazi wale pamoja na binti wakamtafuta yule mume kutaka suluhu na pengine kumpa talaka mke wa kwanza. kumtaka mume awajibike na malezi ya watoto na matumizi ya mke wa kwanza ambaye bado anaishi kwa wazazi wake. je sheria inasemaje kwenye hili tujaribu kumshauri ndugu yetu huyu? katika kipindi chote hiki mume alikuwa haruhusiwi hata kuona watoto.