swala nikugonga. Kwenye sheria za jinai kinachotazamwa ni wakati uliotenda kosa kama sheria ilikuwepo nakueeleza kuwa ulichofanya nikosa.JFs, naomba mwongozo juu ya kesi ya kugonga mtu barabarani (sio kwenye zebra). Na kesi inaenda mahakamani huku mgonjwa ameshapona kabisa.
Mwongozo tafadhali.