Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
sasa kinachokufanya utoke povu ni nini? acha hizo bwana...kama mlishawahi kukutana kuna wasiwsi wa nini tena mara ooh huyu kajiunga leo na jf, huyu kajiunga kae=rne moja iliyopita...acha kubagua wenzako hata aliyejiunga dakika hii ana haki kama wewe ulijiunga humu karne iliyopita...hongera sana kwa kuwa na kitambo sana hapa jf...!
Ha ha haaaaaaaa......jukwaa la siasa linakufaa, kule watu hutokwa mapovu.Sisi huku tunapendana, Anyway....