SnowBall nafikiri we are too old kwa mambo kama haya
May be tuko sayari tofauti
Maana sijaona ambacho kimemfanya mpaka amuone shemeji yake anamtega
kupigiwa magoti
na huyo mke ambaye anamuacha mdofo wake kuingia kwenye chumba chao na kutandika kitanda ni wa wapi na anaacha hata kumuandalia mumewe chai na chakula anampa hilo jukumu mdogo wake
Hapa kuna mambo mawili katika tabia za mleta bandiko. 1) Tamaa kwa wanawake bila mipaka, sidhani anaona mpaka wowote kati ya mkewe a shemejiye. Anachofikiri ni "trophies" na anadhani shemejiye ni another trophy to win!! katika bandiko lake, hakuna sehemu inaonesha ametegwaje. 2. Kukosa uongozi katika nyumba yake mwenyewe. Kila jambo lina mipaka. Shemeji kukupelekea maji bafuni si jambo baya lakini katika jamii inayotuzuguka, limekabidhiwa sana kwa wake. Ukijua mke hayuko, kuepusha balaa - jipelekee mwenyewe. Vitu kama miswaki anaweza kufanya mwenyewe. Kutandika kitanda si sawa!!! Na huyu bwana anavoshangilia jambo hili anaonesha uelewa mdogo wa majukumu na mgawanyo wake. Ikiwa yeye mwenyewe hawezi kutandika kitanda, akiache hivo mpaka mke atapokuja jioni. Sidhani mke atamlaumu mdogowe kwa kutokitandika.
Damn!!!