Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Inadaiwa kuwa Beatrice Shellukindo aka Jairo mbunge wa kilindi anaongoza uasi ndani ya wabunge wenzake wa CCM ili kuikomoa serikali kwa kuwa amenyimwa uwaziri.Shellukindo alikuwa na matarajio makubwa sana kupata uwaziri,alipoona ameukosa ameamua kula sahani moja na wale waliopo madarakani.
washirika wake ni ole sendeka,Ane kilango,mwakyembe na Sitta.
My take.hii ni chuki na hila ya kutaka wakose wote.
washirika wake ni ole sendeka,Ane kilango,mwakyembe na Sitta.
My take.hii ni chuki na hila ya kutaka wakose wote.