Maryam Malya
Senior Member
- Nov 29, 2021
- 115
- 258
Sheikh wa Mkoa wa Manyara amkaribisha Rais Samia mkoani humo kwa kueleza furaha waliyonayo Rais Samia kuwa Mkoani hapo na kutoa rai kwa wananchi kumuunga mkono katika yote kwani amefanya mengi kwa kipindi kifupi alichokaa madarakani
"Tunayo furaha kubwa sana Rais Samia kuja Manyara, tunamuomba Mwenyezi amhifadhi na ampe afya njema ili azidi kutupigania" alisema Sheikh Mohamed H. Kadidi
Sambamba na hilo, Sheikh wa Mkoa wa Manyara amempongeza Rais Samia kwa kwa kuishi ndoto za Hayati Baba wa Taifa, Mwl. Julius Kambarage katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo na uzalendo wake kwa Taifa letu
"Tunayo furaha kubwa sana Rais Samia kuja Manyara, tunamuomba Mwenyezi amhifadhi na ampe afya njema ili azidi kutupigania" alisema Sheikh Mohamed H. Kadidi
Sambamba na hilo, Sheikh wa Mkoa wa Manyara amempongeza Rais Samia kwa kwa kuishi ndoto za Hayati Baba wa Taifa, Mwl. Julius Kambarage katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo na uzalendo wake kwa Taifa letu