Sheikh mkuu wilayani Tunduru ashambuliwa

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
THURSDAY, OCTOBER 25, 2012

Majeruhi+Rajab+Abdalah.jpg
Sheikh mkuu Wilayani Tunduru Alhaji Waziri Chilakweche akiwa hospitali
Majeruhi+Rajab+Abdalah+17.jpg

Rajab Abdalah (17)

--

Na Steven Augustino,Tunduru


Watu wanaodhaniwa kuwa ni Waislamu wenye msimamo Mkali wa Dini wamemvamia na kumpiga Shekh Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Wilayani Tunduru Alhaji waziri Chilakweche na kumsababishia maumivu makali.


Kabla ya tukio Shekh huyo alifatwa nyumbani kwake na vijana na kumuomba watoke nae nje ya eneo la nyumba yake wakidai kuwa wanaomba awasaidie kusuluhisha Mgogoro uliokuwa umezuka katika msikiti wa Kitumbini katika Mtaa huo.


Sambamba na tukio hilo pia kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Rajab Abdalah (17) Amelazwa katika Hospitali ya Serikali ya Wilaya ya Tunduru akiwa hajitambui baada ya kushambuliwa kwa mapanga na watu ambao walidaiwa kukimbilia katika tukio la shambulizi la Shekh Chilakwechi.


Mashuhuda wa tukio hilo walidai kuwa tukio hilo lilitokea usiku wa manane kuamkia leo ambapo katika madai yao vijana hao walimtuhumu Alhaji Chilakwechi kuwa amekuwa akishiriki na kula vyakula vya wakirsto.


Akiongea kwa taabu Alihaji Chilakwechi alidai hakuwa na ubaya nao na wala hajwahi kugombana na mtu hali ambayo inamshangaza na anaiomba Serikali ifuate mkondo wake kwa wahusika.


Kuhusu tuhuma za yeye kushiriki katika shughuli za dini katika madhehebu ya wakristo alidai kuwa hicho siyo kitu cha ajabu kwa viongozi wa dini na kuongeza kuwa wao kama viongozi wa dini huwa na ushirikiano na huitana na kutembeleana kwa vile dini hairuhusu uhasama miongoni mwao.


Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Ruvuma Bw. Deusdedth Nsimekli amedhibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa jeshji la polisi linaendelea na uchunguzi ili kujua kiini cha tukio hilo.


Aidha kamanda Nsimeki alikiri pia kufahamu matukio ya udini yanayo endelea Wilayani Tunduru nakuongeza kuwa jeshi limejipanga kuhakikisha kuwa wanadhibiti vitendo hivyo.


THURSDAY, OCTOBER 25, 2012 ~ COPYRIGHT: MICHUZI BLOG
 
pole shekh....mbegu ya udini ilipandwa na sasa imekua na kuzaa mtoto (uamsho).....


kuna kundi la waislam wana mpango wa kuwamaliza mashekh wa bakwata nini???
 
waislam wenye msimamo mchafu hamna akili,mbona mnakuwa kama mashetani?
 
Hayawi hayawi! Yamekuwa. Ccm imelea na kutukuza udini na sasa dhambi hiyo inawatafuna
 
Kumbe huu mtandao upo dhidi ya Waislamu! Naona ishu za mapadri wanazolawiti au kulawitiwa na kuhalalisha Ushoga hua haziwekwi hapa!

ASANTE kwa UFUMBUZI.. Hiyo Habari IMETOKEA LEO? NIPE LINK nitaiweka SASA hivi...
 
Kidogo kidogo tunakuwa wazoefu wa kumwaga damu, shehe kalipuliwa na bomu Arusha huyu naye kakatwa mapanga, ni wazi kila mwislamu anayeshirikiana na wakristo anakuwa hatarini, SERIKALI mpo wapi?
 
yaani sheikh anapigwa kwa sababu anatembeleana na wakristo...kwa waislam wanatakaje kwamba wao wawe na maisha yao na sehemu yao wenyewe na wakristo wawe na mitaa yao na wawe wao wenyewe ama shida iko wapi? kama waislam wanampiga sheikh wao hivi watakua na huruma na madhehebu mengine? huku tunakoelekea huku? Hongera Jakaya umetimiza ndoto zako sasa nchi iko kwenye mgawanyiko wa kidini....are you happy now?
 
waislam hua wanaswali sijui mara 6 kwa siku....hua mara zote hizo mnasali nini...kwamba mue na chuki na watu wenye madhehebu mengine, hua mnasali kua mkiamka asubuhi mpate nguvu za kuchoma makanisa na kuchinja polisi mara zote hizo sita hua mnasaligi na kuombea nini hasa?
 
THURSDAY, OCTOBER 25, 2012

Majeruhi+Rajab+Abdalah.jpg
Sheikh mkuu Wilayani Tunduru Alhaji Waziri Chilakweche akiwa hospitali
Majeruhi+Rajab+Abdalah+17.jpg

Rajab Abdalah (17)

--

Na Steven Augustino,Tunduru


Watu wanaodhaniwa kuwa ni Waislamu wenye msimamo Mkali wa Dini wamemvamia na kumpiga Shekh Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Wilayani Tunduru Alhaji waziri Chilakweche na kumsababishia maumivu makali.


Kabla ya tukio Shekh huyo alifatwa nyumbani kwake na vijana na kumuomba watoke nae nje ya eneo la nyumba yake wakidai kuwa wanaomba awasaidie kusuluhisha Mgogoro uliokuwa umezuka katika msikiti wa Kitumbini katika Mtaa huo.


Sambamba na tukio hilo pia kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Rajab Abdalah (17) Amelazwa katika Hospitali ya Serikali ya Wilaya ya Tunduru akiwa hajitambui baada ya kushambuliwa kwa mapanga na watu ambao walidaiwa kukimbilia katika tukio la shambulizi la Shekh Chilakwechi.


Mashuhuda wa tukio hilo walidai kuwa tukio hilo lilitokea usiku wa manane kuamkia leo ambapo katika madai yao vijana hao walimtuhumu Alhaji Chilakwechi kuwa amekuwa akishiriki na kula vyakula vya wakirsto.


Akiongea kwa taabu Alihaji Chilakwechi alidai hakuwa na ubaya nao na wala hajwahi kugombana na mtu hali ambayo inamshangaza na anaiomba Serikali ifuate mkondo wake kwa wahusika.


Kuhusu tuhuma za yeye kushiriki katika shughuli za dini katika madhehebu ya wakristo alidai kuwa hicho siyo kitu cha ajabu kwa viongozi wa dini na kuongeza kuwa wao kama viongozi wa dini huwa na ushirikiano na huitana na kutembeleana kwa vile dini hairuhusu uhasama miongoni mwao.


Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Ruvuma Bw. Deusdedth Nsimekli amedhibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa jeshji la polisi linaendelea na uchunguzi ili kujua kiini cha tukio hilo.


Aidha kamanda Nsimeki alikiri pia kufahamu matukio ya udini yanayo endelea Wilayani Tunduru nakuongeza kuwa jeshi limejipanga kuhakikisha kuwa wanadhibiti vitendo hivyo.


THURSDAY, OCTOBER 25, 2012 ~ COPYRIGHT: MICHUZI BLOG

Hii siyo vita ya udini, ni shetani kamili.
 
Kata ninayotoka (by the time nikiwa mdogo) kulikuwa na familia tano tu zenye waumini wa Kiislamu ( and remember I mean kata nzima sio kitongoji au kijiji). Walikuwa wana-rotate weekly kusali ijumaa. Uongozi wa kata (wote wakristo) ukaamua kuwasaidia kujenga msikiti kwenye makao makuu ya kata (ambapo palikuwa centrally located)
Wakazi wote wa kata walishiriki kujenga huo msikiti, na hakuna alieathirika. Leo iweje sheikh apigwe kwa kwenda kushirikiana na wakristo? Ukisikia ugonjwa wa akili ndio huu!
 
Huyu mungu wa machafuko si Mungu wetu.

Sent from my LT26i using Tapatalk 2
 
walikuwa wanapanda walidhani mbegu hazioti, sasa zimeota na kibaya zaidi zimeota wakiwa hai.
kuzing'oa shughuli ipo, wale jamaa waliokuwa wakihubiri pale Morogoro wakati wa kampeni 2010, kwa kusema kanisa katoliki litaleta vita sasa tunawatyaka waseme limeleta wapi vita.
 
pole shekh....mbegu ya udini ilipandwa na sasa imekua na kuzaa mtoto (uamsho).....


kuna kundi la waislam wana mpango wa kuwamaliza mashekh wa bakwata nini???
Edson tuache waislamu tutiane adabu wenyewe hayakuhusu.
 
Hivi hawa suni ni waislam kweli, hivi kumwaga damu ya binadamu ndio ibada yao? Kweli japo mimi ni muislam lakini nakiri kwamba Yesu ni kiboko alishasema saa watawaua wakidhani wanamtolea mungu sadaka.
 
Back
Top Bottom