Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,908
- 2,477
Kijana mwana wa Sarah Polin unatia aibu!
Unarusha mipasho kama umevaa shanga!
We kupiga deki na kubadilisha nepi hao wazee wa huko umeshajiona umestaarabika!
Mwana mkataa kwao ni mara nyingi anakuwa mtoto wa nje ya ndoa!
Sasa hebu jihifadhi kidogo. Asije mama alaska akaumbuka!
Safi kabisa Doctor Kahtaan (huyu lofa anaejiita son of alaska anahitaji maneno kama yako).