Sheikh Basalleh wa Radio Kheri Ni Mchochezi

Endelea kuota tu !!! The sleeping giant is awakening ndugu you better start to get used to it. Waislamu sio wajinga tena. Wewe ndio Machame hujafika mimi nimeenda mpaka vijijini na unayoyasema sio kweli. Wewe ndio wale mmezaliwa wakristo basi mnadhani kila mkristo hakuna wa kumdanganya hapa.

Number without substance what nimekuambia kuwa mpaka sasa population ni kama ifuatavyo:

Muslims = 35%

Christians = 30%

The rest= 35%

Source : CIA mpaka navyoandika ukitaka meza usipotaka kapumzike ni msumari mchungu but inabidi tu uumeze.[/QUOT]

....RIPOTI YA CIA ....DU UNACHEKESHA SANA ...lini marekani amekuwa rafiki wa Uislamu....LAKINI SISHANGAI NYIE NI WALE MNAITWA BISHANA HADI UFE......NDIO MAANA NIKAKUAMBIA KUWA HIZI DINI HAZINA MAANA KAMA HAZIWAJENGI WATU NA KUWAPA HUDUMA BORA ZA KIMWILI NA KIROHO......

Kwanini lini Marekani alikuwa marafiki na wakristo???? Hivi kuna myahudi amekuwa rafiki na nyie dini zenu amezivuruga hamtambulikani sasa mnafuata dini gani? Mimi naona wewe ndio hueleweki mara useme wakristo mpo wengi Tanzania, ukasema sheikh basaleh akaimbe ngojera zake huko ukaleta information zako za kupikwa from US department of state. Sasa mie nimekupa source unasema eti CIA hujui lini walikuwa marafiki na waislamu!!! Kama sio marafiki na waislamu then ni kweli basi statistics ndio ziko hivyo maana wangelibadilisha basi.

Ndio maana nakuambia kaimbe ngojera zako huko usilete hapa JF tunawekana sawa tu ndugu.
 
hypothesis ...reason!!!

Assumption must be supported with findings ...you cannot reveal your assumptions if you dont have findings to support your assumptions thats why i call that a blood crap...assumptions bila supporting findings ..ni hekaya ..unaweza kuongea na mkeo chumbani .....
Mimi msimamo wangu regardless what ..tuangalie dini hizi zina faida gani kwa jamii na waumini wake!

Hivi kuna mtu amefanya research bila ya hypothesis???? Hasa ambazo zinatumia data za aina fulani wewe wa wapi ndugu katika dunia hii.
 
Wagala mara nyngne hata km ni ngumu kukubali ukweli,mjue huu si wakati wa kuwaburuza wale wanyonge wenu.
 
Wagala mara nyngne hata km ni ngumu kukubali ukweli,mjue huu si wakati wa kuwaburuza wale wanyonge wenu.
 
Wewe unayejiita Fungu la kukosa hata akili yako nadhani ni ya mafungu, aliyekwambia kwamba 75% ya wakazi wa mjini ni waislam ni nani? nitakubaliana na wewe kama ungesema Tanzania ni pwani, Tanga, Kondoa na mtwara hapo ndiyo ungeweza kutumia data zako hizo.
 
Hapa kunahatari yatakayo jitokeza, swala la mtu kujadili na kuhoji udini wa myu mwingine kila siku si swala nzuri hata kidogo, uwingi wa wafuasi wa dhehebu fulani si sababu ya kuwa viongozi, hii ni dhana potovu kabisa na inachochea chuki na ugomvi miongoni mwa jamii yetu, huyo shekhe anapaswa kujiheshimu ili aheshimiwe, mambo kama haya si mambo ya kuchekelewa kabisa, maneno hayo yanaleta uchochezi na ujasiri wa kijinga kisa tu tumeambiwa sisi ni wengi. tarehe 24/02/20011. katika eneo la Mto wa mbu mkoani Arusha wilaya ya Monduli yalizuka mapigano ya kidini miongoni mwa waislamu na wakristo wa kanisa la pentecoste, ni kutokana na mahubiri ya mchungaji wa kilokole ktk mkutano wa injili, kwa kulinganisha maneno ya biblia na qurani, kama wanavyo fanya waislamu kulinganisha Qurani na biblia, waislamu wakaleta shida na kuanza kuwapiga watu na mawe na kuharibu kanisa huku watu wengine wakiwa wameumizwa vibaya. je hali hii ikiachwa hivi nini kitatokea watanzania tusiipe nafasi huu upuuzi, kama media zingine zikitoa habari za uchochezi zinafungwa je hii haistahili kufungwa! au kuonywa!
 
Kipindi cjha JUKWAA LA ASIYE NA JUKWAA Radio Kheri 104.10MHz kila Jumapili saa tatu na nusu usiku kina kila daliili za kuhamasisha vurugu. Sheikh Bassalleh huwa ni mtoa mada mkuu katika kipindi hiki. Kwa mara nyingi amekuwa akirudia rudia na kuwaaminisha wasikilizaji wake kuwa waislamu ndiyo wengi (bila kutoa takwimu) Tanganyika na kwa hali hii wanatakiwa wawe wameshika usukani katika kila nyanja na wasikubali "kuonewa". Wana JF mnasemaje juu ya hili?

Asante Kalabash kwa ujumbe wako huu, lakini hivi bado unastuka na taarifa za sheikh huyo ambaye hata hana data? Achana naye, wakiwa wengi so what? Hao ndo waliokaririshwa kurani madrasa wakaambiwa waislam ni wengi, hadi leo anatembea na hilo sabbu aliambiwa na mwalimu wa madrasa.

Wengi kiasi gani? Dhidi ya nani? kwaajili ya nini? kwa faida ya nini? Ni baadhi ya maswali ya msingi kila moja kujiuliza. Tanzania hii tunaoana bila kujali sana dini. Mimi ni mkristo lakini binamu yangu mkristo amemwoa dada yake Sheikh Bassaleh. Wote wanafuata dini ya kikristo. Je kwa sababu tu ya dini yake binamu yangu ametengwa na waislamu? Hapana. Huyo Binamu yangu(au shemeji yangu) Sheikh Bassaleh ama anajifurahisha, ama yuko kwa ajili maslahi binafsi(baada ya kipindi apate chochote). Huo naona ndo udini uliopo Tanzania, sio zaidi.
 
Kwanini lini Marekani alikuwa marafiki na wakristo???? Hivi kuna myahudi amekuwa rafiki na nyie dini zenu amezivuruga hamtambulikani sasa mnafuata dini gani? Mimi naona wewe ndio hueleweki mara useme wakristo mpo wengi Tanzania, ukasema sheikh basaleh akaimbe ngojera zake huko ukaleta information zako za kupikwa from US department of state. Sasa mie nimekupa source unasema eti CIA hujui lini walikuwa marafiki na waislamu!!! Kama sio marafiki na waislamu then ni kweli basi statistics ndio ziko hivyo maana wangelibadilisha basi.

Ndio maana nakuambia kaimbe ngojera zako huko usilete hapa JF tunawekana sawa tu ndugu.

Mdondoaji we mwongo, takwimu zako za Muslims = 35% Christians = 30% The rest= 35% umezitoa wapi na ni za
mwaka gani?

Usihadae watu bure, hata waislamu mkiwa wengi so what/ Who cares? For what? Tumind zaidi uchumi wa Tanzania unaokwenda mrama kuliko maswala ya kijinga ya kuraan, na nani zaidi.

Hata hivyo hii hapa takwimu ya mwaka 2009 juzi- Google/Weekpedia(cheki hata sasa)

The study of the United States Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor for 2009 suggests that 62% of the population of Tanzania is Christian, 35% is Muslim, and 3% are members of other religious groups.

Umeridhika au bado?
 
Mchochezi ni yule anayeelewa tofauti ama sawa na kutafsiri kwa mtazamo hasi...ni rahisi...kwa mfano mtu kuitwa ng'ombe haimbadilishi moja kwa moja kuwa mnyama tajwa japokua kuna ufanano wa mbali...Km mtu akitoa matamshi yanayokinzana na mtazamo wako isiwe sababu ya kutoa tafsiri hasi kwa wale wasio na msimamo km wako kwa kuwa kwa kufanya hivyo wewe ndiwe utaitwa mchochezi badala ya mtoa neno wa kwanza!
 
Mie naomba kuuliza kwa muanzishaji hii Thread je ni uongo waislamu sio majority nchini?

Pili una hakika anachochea au anawahamasisha waislam kuondokana na ujinga kusoma, kutafuta kazi za maana na kuingia katika kisiasa ili wapate kujikwamua?

Tatu unaenda kusikiliza redio kheri kwa ajili ya nini kwanini usisikilize redio tumaini???



Nitakujibu swakli lako la kwanza: KUTOKANA NA MTANDAO WA PEW RESEARCH CENTRE ULIOTOA TAWIMU ZA WAISLAMU NCHI KWA NCHI DUNIANI KOTE (na dini nyinginezo pia) TANZANIA INA WAISLAMU MILLIONI KUMI NA TATU TU SAWA NA ASILIMIA 35 YA WATANZANIA WOTE. WAKRISTO NI WENGI ZAIDI YA HAPO. Sijataja idadi yao ili kukusukuma uende kwenye huo mtandao.
 
Kipindi cjha JUKWAA LA ASIYE NA JUKWAA Radio Kheri 104.10MHz kila Jumapili saa tatu na nusu usiku kina kila daliili za kuhamasisha vurugu. Sheikh Bassalleh huwa ni mtoa mada mkuu katika kipindi hiki. Kwa mara nyingi amekuwa akirudia rudia na kuwaaminisha wasikilizaji wake kuwa waislamu ndiyo wengi (bila kutoa takwimu) Tanganyika na kwa hali hii wanatakiwa wawe wameshika usukani katika kila nyanja na wasikubali "kuonewa". Wana JF mnasemaje juu ya hili?
TANZANIA UISLAM UNA ZAID YA MIAKA 300 UKIRISTO MIAKA 150 HIVI. unahitaji evidence gani kujua waislam ndio wengi?
 
Sheikh Basalehe ni kiongozi wa kidini mwenye hadhi kamili ya uongozi katika jamii ya waislam sawa na Pengo wa kanisa katoliki au mtikila wa kanisa li silo rasmi. kwahivyo basi anahaki ya kutoa maoni yake kama walivyoviongozi wengine wa kidini hapa nchini.

Kuhusu madai ya kuwa waislaam ndiyo wengi hapa nchini hayo ni sahihi kabisa wala hayana ubishi. kwani ushahidi wa jumla unadhihirisha kwamba zaidi ya 75% ya wakazi wa mijini ni waislaam na huko mashamba 45%. (source: Globa popolation statistics 1989, sectiohjn E&F EAST AFRICA REGION).

Kusema kwamba waislaam wajiandae kushika madaraka hilo sio kosa la jinai, ni tamko la kawaida na laweza kusemwa na pengo, Mtikila Kilaula nk.
duuh kweli ni FUNGU LA KUKOSA!!!
 
Kipindi cjha JUKWAA LA ASIYE NA JUKWAA Radio Kheri 104.10MHz kila Jumapili saa tatu na nusu usiku kina kila daliili za kuhamasisha vurugu. Sheikh Bassalleh huwa ni mtoa mada mkuu katika kipindi hiki. Kwa mara nyingi amekuwa akirudia rudia na kuwaaminisha wasikilizaji wake kuwa waislamu ndiyo wengi (bila kutoa takwimu) Tanganyika na kwa hali hii wanatakiwa wawe wameshika usukani katika kila nyanja na wasikubali "kuonewa". Wana JF mnasemaje juu ya hili?
Hata kama ni wengi, watatawalaje kwa elimu ya madrasa?
 
Back
Top Bottom